Nini maana ya mambo ya mchelemchele?

Nini maana ya mambo ya mchelemchele?

lokiyo

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
1,953
Reaction score
883
vijana wa cku hizi utasikia mambo yao ya mchelemchele...hv nini hasa maana ya hili neno mambo ya mchelemchele?
 
mtu mchelele maana yake...mtoto wa kiume anayeingiliwa kinyume nyume....unaweza ukamuita punga...au mngese...kwa maelezo zaidi muone bhanunu.....
 
mtu mchelele maana yake...mtoto wa kiume anayeingiliwa kinyume nyume....unaweza ukamuita punga...au mngese...kwa maelezo zaidi muone bhununu.....

We mchokoze tu bhununu akija hapa utaipata.
 
Kwani mkuu wewe unayaogopa MAPUNGA....???....

Mapunga au viboga si vya kuogopa kabisa katika jamii yetu. Siku zote yanajificha katikati ya vyangudoa. Wangekua wanaume kweli wangejifisha kwenye sketi za vyangudoa ? Bhanunu na Mkuupumbu wako wapi kama wanaume kweli. Yule boflo nahisi kesha kufa maana machele hayana maisha marefu. Mnamkumbuka anti Muddy enzi zileee. kuna yule alikua na jina la kichagga. yaani mijianti yote kusa kufa na kuzikwa kama umbwa. Bhanunu jihadhari death is approaching.
 
hahahahahaha....hapana mkuu,nimekuwa naona coments za watu humu wakiandika hivyo.hata kigodoro nimejua juzi juzi tu hapo maana yake.
 
maana yake ni mwanaume anayepumuliwa kisogon na mwanaume mwenzie
 
mchele mchele ni jina la kichaa mmoja maarufu wa mwanza maeneo ya kilimahewa enzi hizo miaka ya tisini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom