Kagondo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 296
- 79
Waanzilishi wa lugha ya kiswahili walikuja na maneno mengi ya kiswahili.
Kuna baadhi ya maneno yalitumika kwa nadra, lakini yalipata kipaumbele kufanywa kama maneno matukufu katika lugha , kama sehemu ya historia., ni vigumu kuyataja hayo maneno hapa , ila waliosoma shule hasa za ''kiswahili'' wanaelewa
Wasiwasi wangu ni kwamba, je hawa wanafunzi baadhi wa kizazi cha leo, watayajua maneno baadhi ya Kiswahili endepo misamiati hiyo imehamia katika lugha za kigeni?
Je, misamiati hiyo ina tafsiri SISISI?
Kuna baadhi ya maneno yalitumika kwa nadra, lakini yalipata kipaumbele kufanywa kama maneno matukufu katika lugha , kama sehemu ya historia., ni vigumu kuyataja hayo maneno hapa , ila waliosoma shule hasa za ''kiswahili'' wanaelewa
Wasiwasi wangu ni kwamba, je hawa wanafunzi baadhi wa kizazi cha leo, watayajua maneno baadhi ya Kiswahili endepo misamiati hiyo imehamia katika lugha za kigeni?
Je, misamiati hiyo ina tafsiri SISISI?