Jukwaa la Historia

On JF:

ZUBERI MTEMVU: MPANGAJI MIKAKATI WA TANU NA MUASISI WA UPINZANI Rai Oktoba 28 - Novemba 3, 1990 ======= Alhaj Zuberi Mwinshehe Manga Mtemvu Mpangaji mikakati wa TANU, mhamasishaji wa umma...
4 Reactions
17 Replies
6K Views
Vitabu vyote shuleni vinathibitisha hilo kwamba sisi binadamu tumetokana na sokwe je maneno haya ni kweli ?
2 Reactions
55 Replies
14K Views
Wachagga ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro. Shughuli kubwa ya Wachagga ni biashara na kilimo. Wachagga ni...
6 Reactions
90 Replies
26K Views
Naanza kwa kusema kuwa X-mass ya mwaka huu n y kukaa hme na familia. Tangu niwe na akili y kufahamu sikukuu ya mwaka huu cjawah kuiona aisee je ww una maoni gani
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Habarini wakuu ningependa kujua sababu za ujenzi na upanuzi wa makazi ya wayahudi ambao kwa muda mrefu sasa umekua ukiendelea kama una majibu tafadhali naomba unielimishe nielewe.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima sana wanajamvi, Gazeti la Raia mwema limekuwa likichapisha makala ya Kachero wa jeshi la wananchi (JWTZ) aliyetekwa Uganda pamoja na wanajeshi wengine wawili ambao waliuwawa na majasusi...
5 Reactions
58 Replies
8K Views
NAKUSAHURI USOME KWA MAKINI SANA UJUMBE HUU UNA MAANA KUBWA SANA.... SIKU FERDINAND MARCOS ALIPOKUFA ILIKUWA SHEREHE YA KIHISTORIA NCHINI UFILIPINO. Na Luqman Mloto. Enzi nikisoma shule ya...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Shambulizi moja la bomu nchini Uturuki limewaua wanajeshi 13 waliokuwa ndani ya basi na kuwajeruhi wengine 48. Mlipuko huo uliharibu basi hilo ambalo lilikuwa na wanajeshi waliokuwa wameruhusiwa...
0 Reactions
1 Replies
857 Views
Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela Yauzwa Milioni 19.58 Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela Yauzwa Milioni 19.58 - MUUNGWANA BLOG
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amedokeza kuwa huenda akawania urais nchini mwake, Korea Kusini. Muhula wake Ban kama katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa unakamilika mwisho wa mwezi huu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye kujua atujuze historia ya sudani na sababu ya kuendelea kwa migogoro nchi hiyo mpaka kugawika
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Attention attention kama una calenda ya mwaka 1995 basi haina haja ya kununua ya mwaka 2017 kwani zimefanana... Hii ni kwenda sambamba na bajeti ya uongozi wa awamu ya 5...chukua mark pen...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
hivi pan Africanism i hai,?
0 Reactions
1 Replies
885 Views
''And Julius Nyerere is the man who is going to lead us to independence...'' ''Has any one of you ever heard of Nyerere?'' He asked. No one answered. ''Black stand for the people, green...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Moja ya ahadi za Mwana-TANU ilikuwa; " Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko." Tatizo la fitina na majungu miongoni mwa viongozi wa TANU enzi hizo na sasa CCM ni moja ya mambo...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimesikia kuwa Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mh.Ally Hassan Mwinyi aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.Nasikia Mzee Mwinyi alijiuzulu uwaziri Kwa kuwajibika.Nauliza in tukio gani lilisababisha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA NCHI YA ZANZIBAR. Maajabu ya serikali na chama cha mapinduzi CCM, ni kawaida kwao kuyatukuza mapinduzi ya Zanzibar na kuupuuza Uhuru wa nchi hiyo...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimegundua kitu kimoja katika tabia za watu wanaoishi kwa hofu ya kusema kweli wakiogopa labda wenye mamlaka wanaweza wakawadhuru. Wataujua ukweli lakini hawatausema hadi wasikie mtu mwingine...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
kichwa cha habari chahusika hawa warwa/ wameru asili yao ni wapi?
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Back
Top Bottom