MIMI nilikuwa wanafunzi katika chuo cha uhasibu nimemeliza mwaka mmoja uliopita,chuo hiki nichaajabu kwani academic certificate huchua miaka 2,kuipata vyuo vingine ni baada ya graduatuion tu...
HI JEFF, nimejiunga rasmi leo ingawa nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali kwenye hii forum. kilichonikuna ni mada ya sipo kuhusu sup hapo UDSM. kusema kweli imenigusa sana na nimesoma michango ya...
Nature 457, 523 (2009)
The South Nguru Mountains in eastern Tanzania are home to this ornate toad (pictured), a still-unnamed member of the genus Nectophrynoides reported last month (M...
vyumba katika hostel za chuo kikuu cha dsm zimekuwa kama biashara ya chuo kupata hela .. wanatoa faini ambayo haina msingi wowote
Wale wanafunzi wakati wamefukuzwa waliondoka bila kurudisha...
Ukiangalia matatizo mengi yanayo fubaisha uchumi wa TZ yamejikita zaidi ktk mfumo wetu wa elimu.
Na ukiangalia kwa makini utaona matatizo ya TZ yapo ktk kila ngazi ya jamii yani Taifa hadi...
Kuna mtu anayejua ni nini msimamo wa serikali kutoa mkopo kuhusu mtu anayesoma nje? Tusema nataka kwenda kusomea Masters Germany, ile bodi ya mikopo itanifikiria?
Edit: Mkopo not Mokopo
Nina masikitiko makubwa kutokana na huduma ya chuo kikuu huria cha Tanzania kwa wanafunzi tuliopo nje ya nchi.Chuo kimeshindwa kujiwekea mipangilio mizuri hususan katika ufanyaji wa mitihani...
The Eiffel Tower
The symbol of Paris
Its construction began in 1887 and lasted for over 26 months.
It towers 321 meters high and for 40 years, it was the worlds tallest man-made structure...
Kondom na vidonge vya uzazi wa mpango ni mipango ya kishetani yenye ajenda maalum ya kupunguza watu! Sasa kwa vile wasomi wetu wamekuwa wasomi uchwara, wameingia mikataba ya kishenzi na agents wa...
Is that two moons around Saturn I see?
Italian and British scientists want to exhume the body of 16th century astronomer Galileo for DNA tests to determine if his severe vision problems may...
tujikumbushe tarime sekondari kwa wale waliokuwepo enzi za 1999 hadi 2002 .kulikuwa na headmaster akiitwa gosori wakati huo tulikuwa tunamuita chai jaba enzi zile za kwenda toilet huku mashati...
Ndugu wana JF na watanzania wenzangu. Mimi jana nilitoa machozi ya uchungu. Mimi nimesoma pale UDSM miaka ya nyuma, nikafikiria sana kuendana na familia yetu kua ya hali ya chini sana, ingekua...
Jan. 15, 2009
Discovery of Methane Reveals Mars Is Not a Dead Planet
WASHINGTON -- A team of NASA and university scientists has achieved the first definitive detection of methane in the...
Kwa muda mrefu kidogo Google Ads kupitia JF wamekuwa wakiweka link ya Liverpool University lakini kwa jina la Dodoma University. Je, kwa upotoshaji huu hakuna jinsi ya kuwasiliana na Google kuacha...
UDSM NA KUFUKUZWA KWA WANAFUNZI 2000
Utawala wa chuo kikuu cha UDSM kimetoa tamko la kuwafutia udahili wanafunzi wapatao 2000 kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu.Akizungumza mbele ya...
NCHI IMEBEBA MIMBA BILA KUTARAJI,TUKO TAYARI KUMPOKEA MTOTO?
Kubeba mimba kulingana na maana inayotolewa na mtandao wa wordnet home page kuna maanisha kubeba mbegu ya uhai au kuwa katika hali...
ANNOUNCING THE 8TH ROUND OF FORD FOUNDATION INTERNATIONAL FELLOWSHIPS PROGRAM FOR THE 2010/11 ACADEMIC YEAR
Application Form | Download Complete Announcement
The International...
Why does wet fabric appear darker?
When fabric gets wet, light coming towards it refracts within the water, dispersing the light. In addition, the surface of the water causes incoherent light...
Miaka kadhaa ya iliyopita, chuo cha uuguzi cha Mkomaindo, kilichopo Masasi, kilikuwa kikiheshimika sana. Lakini miaka ya hivi karibuni imekuwa ni adha kusoma huko.
Wanafunzi wamekuwa wakitolewa...
Wana JF mliosoma Milambo Sekondari pale Tabora mmo humu ndani kweli? Na kama mmo mnajua kuwa shule yetu ni miongoni mwa shule korofi sana hapa Tanzania?
Mimi sitasahau siku wanafunzi wa Milambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.