Wakuu nimeiona form nadhani ukiiangalia kwa umakini utagundua hata hawa maprofessor wetu wameshaacha taaluma zao na kukimbilia kwenye siasa.
Hebu kila mtu ajionee mwenyewe utumbo ulioandaliwa na...
Archimedes' Principle says that the apparent weight of an object immersed in a liquid decreases by an amount equal to the weight of the volume of the liquid that it displaces. Since 1 mL of water...
Date::11/25/2008
Wanafunzi vyuo vikuu wataka mjadala na Rais Kikwete
Na Hussein Kauli na Angela Mwakilasa
Mwananchi
MARAIS wa Serikali za wanafunzi wa vyuo vinavyounda Umoja wa Vyuo vya...
1) Longest English Word:
Praetertranssubstantiationalistically.... has 37 letters.
2) Book Without Letter "e": GADFY, written by Earnest Wright in 1939 is a 50,000+ word book, which...
Wanafunzi wa Chuo cha usimamizi wa ngawila IFM leo hii wamegomea mitihani ilokuwa ianze leo kwa madai kuwa ratiba imebadilishwa ghafla mno na hakukuwa na muda wa kutosha kujiandaa. kulingana na...
Habari nilizo zipata hivi punde wanafunzi wa IFM wamegoma.
Wanasema wamegomea ratiba ya mitihani wanadai wengine wana mitihani 2-3 kwa siku wameanza kugoma kuanzia saa 12 asubuhi kwa hiyo FFU...
Je nao tuwaandalie list of shame hili dada zetu wasome kwa amani. Naomba kuwakilisha hoja. Rationale ya kuwa na hiyo list of shame ni kwamba mara nyingi vyuo vinapenda kuweka PR nzuri katika jamii...
Walimu: Hatukubali tumepunjwa
Mwandishi Wetu
Daily News; Sunday,November 23, 2008 @20:05
Chama cha Walimu (CWT) kimesema madai ya walimu bado ni mabichi kutokana na walimu wengi wanaodai...
Fraud: Dar University to cancel degrees
Students in a library at the University of Dar es Salaam. Photo/University of Dar es Salaam
By JOSEPH MWAMUNYANGE
THE EAST AFRICAN
Posted...
Wakuu heshima yenu.
Naombeni msaada kwa wale wenye kujua tunda hili la nanasi linapandwa au kuoteshwa vipi? maana embe inapandwa mbegu yake (kokwa), chungwa unapanda zile mbegu zake, ndivi...
NYERERE AND AFRICA: END OF AN ERA
GODFREY MWAKIKAGILE
Source credit: http://g.mwakikagile0.tripod.com/
In addition to the Acknowledgments and the Introduction, you can also read excerpts from...
Na Reuben Kagaruki, Jijini
WAKATI walimu wanatarajia kuanza mgomo wao nchi nzima Jumatatu kushinikiza kulipwa fedha za malimbikizo yao, Serikali imetoa tamko zito ikisema mgomo huo ni batili...
Telling stories is a fun way to humanize your topic. The story brings the "real-life" element into your topic making it more relatable to your audience. Telling stories are also a great way to...
Ndugu wanaJF wenzangu,habari zenu.
Samahani naomba mnisaidie maelezo ama jinsi ya kupata shule A level Tanzania.Maelezo ni kuwa nina mdogo wangu yuko Mwanza ambae namsomesha.Matokeo yake ya O...
WASHINGTON -- NASA's Phoenix Mars Lander has ceased communications after operating for more than five months. As anticipated, seasonal decline in sunshine at the robot's arctic landing site is not...
Another fantastic victory for evolution!! We are getting closer and closer to making people realize the true nature of things!
The church of England is to officially apologise to Charles...
Hatimaye bunge la wanafunzi chuo kikuu cha dar es salam limepitisha mgomo usiokuwa na kikomo kuanzia Jumatatu
Habari zilizotapakaa hapa chuo ni kwamba mgomo huo umekubaliwa na wabunge walio...
Huyu ni accountant by professional ana degree yake na anafanya kazi katika sector ya madini.Kama mine account and Internal Payment.
Katika kupanua mipaka yake ya kuelewa..anapenda kusoma IT ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.