Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Naomba Waziri Mkuu atambue kuwa matatizo hayako UDOM pekee bali karibu vyuo vyote vikuu vya umma. Ushauri wangu ni kuwa avimulike vyote.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baada ya kile kinachodaiwa kushindwa kwa serikali legelege ya wanafunzi wa kitivo hicho, kusimamia msimamo wao wa wazirl mkuu mh.Pinda kuongea na wanafunzi wote,vilevile hasira kali zimeibuka...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Walimu wagoma kurejea kazini na Moses Ng'wat, Mbeya WANAFUNZI wa shule ya msingi Chindi, wilayani hapa wameshindwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mkuu wa chuo Prof Kikula kasema baada ya wajumbe 30 wa seneti kukaa wata watunuku shahada ya heshima ya uzamivu a.k.a udaktari mh JK na marehemu Kawawa katika mahafali ya kwanza ya UDOM tar 26 nov...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Serikali kuwaajiri walimu 9,000 Na Edmund Mihale SERIKALI imerudisha matumani ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu waliomaliza katika nyuo, mbalimbali hapa nchi baada ya kutangaza kuwaajiri...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanafunzi 400 wajisaidia porini na Ambrose Wantaigwa, Tarime SHULE ya msingi Nyairoma iliyoko katika kata ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Taarifa za kuaminika kutoka UDOM zinasema kuwa, Mh. Mizengo K.P. Pinda, leo alikuwa na mkutano na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa takribani masaa 3. Akiwa Chuoni hapo wahadhiri...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu waheshimiwa wote,naomba muongozo wenu katika hili katika kusikiasikia kwangu nimesikia kuwa kuna mbingu 7 (7 layer na 7 Heaven)na nikasikia kuwa km 640 kutoka usawa wa ardhi ndio kuna...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
NAIROBI, Jan. 14 (Xinhua) -- Wikipedia Foundation has launched an offline encyclopaedia for primary and secondary schools in Kenya. The CD version named Wikipedia Offline Encyclopaedia would...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali imeshatoa ajira kwa waalimu,kazi kwenu sasa!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu ingawa niko mbali ila taarifa za kuaminika kutoma UDOM- Chimwaga dakika chache baada ya kiako na waziri mkuu kimethibitisha kwamba wahadhiri wa UDOM walikuwa wakichakachuliwa mishahara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wanafunzi wa UDOM, nimeona niwawekee hii makala hapa muisome kama hamjabahatika kusoma gazeti la Tanzania daima la Leo. Namuunga mkono 100% mwandishi wa makala hii, yanayowakuta mmejitakia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MGOMO wa wanafunzi na Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) umechukua sura mpya baada ya wanachuo hao kumteka na kumweka chini ya ulinzi kwa saa nne Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, John Tupa, wakitaka...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Ndugu wana JF, UDSM nao wameanza mgomo, kwa sasa wako utawala wakitukana, wamemaliza kuimba wimbo wa Taifa na kuelekea Nkrumah hall
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Kwa muda mrefu sana kumeekuwa na mijadala hapa JF kuhusu ubora wa elimu vyuo vyetu vikuu.Wengine wamefika mbali sana na kudhani kuwa vyuo vingine ni bora kuliko vingine.Mjadala mkubwa ni kuhusu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Chuo kikuu cha Dodoma katika college ya Sayansi ya jamii(College of Social Science and Humanities) wamegoma kwa sababu hakuna huduma ya maji hapo chuoni kwao pia wanadai waruhusiwe kufanya...
0 Reactions
233 Replies
24K Views
Ndugu wanaJF! jana katika pita pita nilikutana na mzee mmoja ambaye alinihakikishia kuwa kutoka kwenye chanzo cha uhakika amepata habari kuwa kuna polisi walirape wanafunzi wakati wamewatawanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi nafikiria njia gani nzuri tunaweza itumia ili kupeleka ushawishi kwa wasomi walioko shule na vyuo kujiunga na kuutumia huu uwanja wa jf ili kupata taarifa. Nawasilisha.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa nilikuwa pale hazina leo nkapenda niwape tu vidokezo mwenye uwezo wa kufwatilia ajitahdi..nimekutana na wazee wawili na vijana wawili wakifwatilia yale malipo ya udom toka mwaka 2008...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom