kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
Ndugu wanaJF!
jana katika pita pita nilikutana na mzee mmoja ambaye alinihakikishia kuwa kutoka kwenye chanzo cha uhakika amepata habari kuwa kuna polisi walirape wanafunzi wakati wamewatawanya na mabomu ya machozi katika vichaka vya Makulu - maeneo ya UDOM.
kutokana na utata / uzito wa suala lenyewe mara nyingi wanaobakwa huwa ni wazito kusema na hujikalia kimya waklibubujikwa na machozi!
tunaomba wenye info zaidi watuhabarishe! au kama kuna mashirika / asasi ambazo zinaweza kufuatilia suala hili walifuatilie na tujue mwisho wake!
naomba kuwasilisha!
jana katika pita pita nilikutana na mzee mmoja ambaye alinihakikishia kuwa kutoka kwenye chanzo cha uhakika amepata habari kuwa kuna polisi walirape wanafunzi wakati wamewatawanya na mabomu ya machozi katika vichaka vya Makulu - maeneo ya UDOM.
kutokana na utata / uzito wa suala lenyewe mara nyingi wanaobakwa huwa ni wazito kusema na hujikalia kimya waklibubujikwa na machozi!
tunaomba wenye info zaidi watuhabarishe! au kama kuna mashirika / asasi ambazo zinaweza kufuatilia suala hili walifuatilie na tujue mwisho wake!
naomba kuwasilisha!