Wapendwa wanaudom msifadhaike kufuata laptop mjini na maeneo mengine; laptops zinapatikana pale chuoni kwa bei nafuu kuliko maeneo mengine nje ya chuo :Ni nzuri na za viwango vya juu 'narudia tena...
Je,fedha za field ni sawa kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu mwaka huu? Au inaendana na asilimia uliyopata kutoka HESLB? Kwa mfano kuna watu wamepewa Tsh 2,400,000/= halafu boom na vitabu ni 2m,ada...
Pamoja na kuwa na fani nyingine,natamani kujifunza namna ya kutengeneza photocopy machine ipatapo matatizo,pamoja na printer.naomba kujuzwa kama kunasehemu wanafundisha mantainance za hiv vitu
hatimae wenze2 kenya baada ya mgomo wa walimu 3wks mfululizo malalamiko yao yatatuliwa,madai yao ilikua nkutaka nyongeza had kufkia 300%na serikal imeafik,tz hata hiyo 100 imeshndikana...bora...
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS
(To be conducted in Dar es Salaam)
The Department of Statistics, School of Mathematical Sciences of the University of Dodoma is...
Hi JF!
wandugu nina mdogo wangu kachaguliwa kwenda Tandabui Health Institute kusomea Health Records Financial and Information Management, napenda kufahamishwa je amalizapo kozi hii atafanya kazi...
fuata hatua zifuatazo .1. take your shoe size. 2.multply it by 5. 3. add 50. 4 multiply by 20. 5. add 1012. 6. subtract the year you were born RESULT. the first digit is is your shoes size while...
Poleni kwa kusubiria ripoti ya jana kutoka kwa mdodosaji, naombeni jukwaa nami niwasilishe hoja...
Kwa wale mliokosa mkopo ishu ni kwamba kwa majibu mepesi niliyopewa pale reception ni hivii...
Mimi Ndo Ninaenda Kujiunga Na Chuo Kik8,udsm Mwaka Huu.kuna Rafiki Yangu M1 Ameniambia Kwamba Eti, Kabla Ya Mambo Yote Kuna Form Nyingne Inapaswa 2download Kutoka Kwenya Website Ya Chuo ambayo...
Tuseme nina cut-off points za chuo X, na kozi ninayoipenda inatolewa chuo X tu. Sasa kukwepa ushindani wa kuwa admitted kwenye kozi hiyo kupitia TCU nimeamua ku-apply moja kwa moja moja chuoni...
Habari zenu jf pipo?
Mi nimechaguliwa kujiunga na chuo hiki,nimechukua joining instruction na nimeona structure nzima ya ada,ambayo ni:
-caution money 30,000
-student organisation 10,000...
HABARI WANA JF, KWANZA KABISA NATANGULIZA POLE SANA KWA WALIOKOSA MIKOPO WASIKATE TAMAA PIA NAWAPA HONGERA WALIOFANIKIWA KUPATA NAWASHAURI WAKASOME KWA BIDII.
MIMI NIMEJARIBU...
Habari zenu bhanah.. Ningependa kupata uchangaunuzi kuhusu suala la Medical Capitation fee(100000) ambalo lipo kwenye list ya Direct costs na suala la kujiunga na National Health insurance fund...
Habar zenu wana jamvi?Hali ya kiuchum ya watanzania wengi inafanana,hasa ya ya wale angalau walisoma angalau shule moja ya goverment na binafs(private),matajir wa tanzania wanatambulika na...
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili, mimi nimechaguliwa Bachelor of Arts in Public relations and Advertising pale UDSM ila sasa baada ya muda nimeshauriwa na watu wa nyumbani ni badili nichukue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.