HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology (NM-AIST) inatoa sponsorship kwa wanafunzi wake wa Masters na PhD.
Kuna mdau yeyote anayejua kama orodha ya wanafunzi wa mwaka huu watakaonufaika imetoka? Au umeshaandikiwa official letter kama umefanikiwa?
Natanguliza shukrani
Kuna mdau yeyote anayejua kama orodha ya wanafunzi wa mwaka huu watakaonufaika imetoka? Au umeshaandikiwa official letter kama umefanikiwa?
Natanguliza shukrani