Hebu tizama tofauti hii ya kutisha ya viwango vya mishahara kwa watumishi wa umma wa tz. Ajira mpya ngazi ya cheti: mwl 244,400/= afya 472,000/= kilimo/mifugo 959,400/= sheria 630,000/=. Ngazi...
CHUO Kikuu cha Mzumbe cha mkoani hapa kimesaini makubaliano pamoja na vyuo vingine vitatu vya nje ya nchi wa kuendesha kozi ya Shahada ya Pili ya Utawala na Menejimenti kwa watumishi wa sekta ya...
kuna watu walikuwa wanauliza kuhusu wapi wanaweza pata scholarships. Nami nikaahadi kuwa ntawaletea page yenye scholarships mbalimbali zikiwemo ambazo ni mahususi kwa tanzania. Kutokana na ufinyu...
kuna watu walikuwa wanauliza kuhusu wapi wanaweza pata scholarships. Nami nikaahadi kuwa ntawaletea page yenye scholarships mbalimbali zikiwemo ambazo ni mahususi kwa tanzania. Kutokana na ufinyu...
Baada ya lile sakata la NECTA ambalo limenyakwa hata na vyombo vya habari vya nje, mabadiliko na uboreshwaji wa Baraza ambayo yamechukuliwa na Serikali hayatangazwi sana na vyombo vya habari! hii...
Kwanza, mabasi ya wanafunzi ya shule hii ni mabovu kiasi cha kushangaza kiasi cha kutishia usalama wa watoto wetu.
Pili, Wanafunzi wanajaa sana kwenye mabasi kinyume na sheria za usalama...
Walimu watangaza mgogoro na chama chao
By Thobias Mwanakatwe | 16th June 2012
Walimu nchini wametangaza mgogoro dhidi ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ambao unaweza kusababisha mgomo wa...
Nimeipenda sana hii, na najiuliza sisi wa-Afrika tunafanya nini? Hatuwezi hili? maana hiki huyu mtoto anachokionyesha hapa ni kipimo cha chakula ambacho wengi wa familia za Tanzania hazikipati...
Poleni na Majukumu.
Mimi naomba kuuliza kuhusu idadi ya course za kujaza kwenye CAS sababukwenye kitabu cha TCU wameandika ziwe sita au zaid lakini zisizidi nane,,mimi hapa nilijaza saba na chaguo...
Llikuuwa ni leo nilipopigwa na butwa pale nlipoenda posta hapa mbeya mjini nlipofkakulipia ems ili ntume form kwa kwel nlishanga wakaniambia ni 11,000 dah hv bodi ya mkop6 inatutakia nn sisi masikin
Hebo tazama tofauti hii ya kutisha ya viwango vya mishahara kwa watumishi wa umma wa Tz (ajira mpya) cheti mwl 244,400=, afya 472,000=, kilimo na mifugo 959,400=, sheria 630,000= diploma mwl...
wadau inakuaje TCU wanakuandikia not eligible kozi zote,kwa mfano mimi kozi zote nane wameniandikia not eligible na nina vigezo vyote hadi zile za kawaida sasa huu ni mtandao ama? na ina effect gani?
Walimu mliingia na vyeti vya kufoji? Mbona mnakandamizwa kama watu ambao hamjagusa hata darasa? Hebu tizama tofauti hii ya kutisha ya viwango vya mishahara kwa watumishi wa umma wa tz. Ajira mpya...
ndugu zangu, nina binamu yangu amemaliza MBA hapo udsm anatafuta kazi. Ana BBA marketing na sasa ana MBA upande huo huo wa marketing. kwa sasa amejishikiza sehemu moja hivi ila anaomba tumsaidie...
Bill Gates said (2010) in five years the best education will come from the web making universities obsolete. Now MIT and Harvard have launched online courses on experimental basis with potential...
Hivi jamani nisaidieni eti kati ya kozi ya environmental engineering na land management and valuation ipi inalipa,na uwezekano wa kupata ajira serikarini?