Hapa na Mimi nimrpata ki2. pia naomba kuuliza utaratibu unaotumika mpaka mwanafunzi kufika chuoni na kuwa admitted, je hutumiwa taarifa au inakuaje??
utatumiwa admission letter ambayo itakupa maelekezo yote.over
Natumai mwezi wa nanejamani selection inatoka ln wakuu