ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 558
- 257
Poleni na Majukumu.
Mimi naomba kuuliza kuhusu idadi ya course za kujaza kwenye CAS sababukwenye kitabu cha TCU wameandika ziwe sita au zaid lakini zisizidi nane,,mimi hapa nilijaza saba na chaguo la saba wameniambia not eligible,,sasa ja naweza kuiacha hivyo hivyo au ni lazima kuibadilisha.
Mimi naomba kuuliza kuhusu idadi ya course za kujaza kwenye CAS sababukwenye kitabu cha TCU wameandika ziwe sita au zaid lakini zisizidi nane,,mimi hapa nilijaza saba na chaguo la saba wameniambia not eligible,,sasa ja naweza kuiacha hivyo hivyo au ni lazima kuibadilisha.