Vunjavunja
Member
- May 18, 2012
- 92
- 11
Hebo tazama tofauti hii ya kutisha ya viwango vya mishahara kwa watumishi wa umma wa Tz (ajira mpya) cheti mwl 244,400=, afya 472,000=, kilimo na mifugo 959,400=, sheria 630,000= diploma mwl 325,700=, afya 682,000=, kilimo/mifugo 1,133,600=, sheria 871,500/= degree mwl 469,200=, afya 802,200/=, kilimo/mifugo 1,354,000/=, sheria 1,166,000/= je walimu tunaendelea kuvumilia upumbavu na ujinga wa kutunyanyapaa walimu kiasi cha namuna na serikali inategemea wanafunzi wafanye vizuri ktk mitihani walimu tunaomba tufanye mgomo usio na kikomo huu ni ujinga kuvumilia upumbavu wa serikali ya CCM.