nurumohamed Member Feb 1, 2012 8 0 Jun 22, 2012 #1 hivi kwa wale wanaosoma gender and development wakimaliza watafanya kazi gani?
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Jun 22, 2012 #2 Duh!huo mwandko mpaka mtu auelewe,inabidi ale gunia la karoti.
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,182 42,001 Jun 22, 2012 #3 Wanaweza kufanya kazi za maendeleo ya jamii, kwenye mashirika yanayo fanya empowerment. NB: kumbuka wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto ina wahusu sana.
Wanaweza kufanya kazi za maendeleo ya jamii, kwenye mashirika yanayo fanya empowerment. NB: kumbuka wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto ina wahusu sana.
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Jun 22, 2012 #4 nurumohamed said: hivi kwa wale wanaosoma gender and development wakimaliza watafanya kazi gani? Click to expand... wanafanya kazi za genda and developument
nurumohamed said: hivi kwa wale wanaosoma gender and development wakimaliza watafanya kazi gani? Click to expand... wanafanya kazi za genda and developument