ivi BBA-MKTNG,BCOM-MKTNG na MKTNG zna tofaut gan?
apart kua marketing manager/oficer unaweza ukafanya kaz gani nyingine?
pia kwamfano umesoma BBA-MKT ina maana u r a busines administrator or you...
Wana jf mara nyingi nimesikia malalamiko kuhusu necta ktk usahishaji mitihani kiwango cha sekondari ngazi zote(o-level hadi advance),watahiniwa binafsi wanasahishiwa kwa kiwango cha kufaulu...
Habari za Mchana wanaJf.
Wadau kulikuwa na thread humu jukwani iliyohusu kuwanunulia watoto vitabu kuwa vinaenmcourage kusoma.
Mimi nilifuata ule ushauri ni kamnunulia mtoto wangu vitabu 2 na...
Habari wasomaji wote.
Ningependa kuwashirikisha wanabodi wote hapa ya kuwa katika serikali hii ya JMT kuna mamlaka inayojishughulisha na masuala ya hali ya hewa nchini. Kuna watu wengi pengine...
Wana jf naomba mnijulishe mipaka Ya Tanzania kwa Majina na Eneo husika.
Mfano
Tanzania mkoa wa Mbeya umepakana Malawi(Kasumulo) na zambia(Tunduma),
Mwenye kuijua azidi atujuze...
Wakati naanza shule ya msingi,niliaminishwa na kuamini kuwa wanafunzi wanaosoma Shule za Serikali ndio wenye 'akili' kuliko wale wa shule za binafsi.Nikaendelea kuamini hivyo hata nilipoanza...
Africa Scholarships Program: Alma Graduate School (the business school of the University of Bologna) and the Foundation for World Wide Cooperation are pleased to announce the "Africa Scholarship...
Binafsi namkumbuka mwl wangu wa Literature miaka hiyo pale Shinyanga sec aliitwa mwl Mipawa almaarufu kama Okonkwo. Alikuwa akija na mtoto wake darasani na huku yeye anakula kiazi na kufundisha...
Hivi kwa nini mitihani ya UE isiwe inasahishwa na bodi maalumu kama ilivyo NECTA kwa shule za secodary natamani iwe hivi ili kupunguza unfair zinazotendwa na wahadhili wetu hapa Tz.Unakuta mdhari...
Nashauri mitihani ya masomo ya dini isahihishwe huko huko misikitini na makanisani na wawekeane maksi watakazo kama ni 100% sawa kama ni 0% poa pia matokeo wapeane hukohuko ktk nyumba za...
Nimesema hivyo kwa sababu, mimi binafsi nimesoma shule ya serikali nikiwa O'level then nikasoma shule ya private ktk A-level. Nikiwa O'level, kuna walimu ni wazi walikuwa wachovu ktk masomo...
Ajabu Marekani ukienda kwenye Interview hawaulizi vyeti kabisa wala copy za vyeti haziko kokote kazini.
Nilipokwenda kwenye interview yangu ya kwanza nilikwenda na vyeti vyangu vya Tanzania...
Watu wanalilalamikia baraza la mitihani la taifa (necta).nami nakubaliana nao na naona ipo haja ya kulimulika baraza hilo. Kumekuwa na malalamiko kwamba usahihishaji wa mitihani si wa kuridhisha...
Kunandugu yangu alikuwa ananishauri nisome hiyo kozi lakini sina ufahamu wa kutosha kwamba inahusika na nini zaidi na market yake ikoje. Tafadhali kwa mwenye uelewa anijulishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.