mambo vp jamaa
naweza kupata ushauri kuhusu kufanya bishara ya kusafirisha kuku kama niko nje ya dsm, ikiwemo bei, namna za usafirishaji na gharama, maeneo naweza kupa soko na vingine kama utakua...
Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Wizara ya Elimu na kampuni ya IBM katika kusukuma Elimu Kwa njia ya dijitali huenda yakaafikiwa baada ya kampuni ya vodacom kufanya uwekezaji katika kusambaza...
Unapoongelea mafanikio ni lazima uguse uchumi na unapogusa uchumi unaigusa serikali na mtu mmoja mmoja,hivyo suala la uchumi ni mtambuka sana lakini linasimamiwa na mipango thabiti, weka mipango...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Kuna mtu kaniomba ushauri hapa, anahitaji kufungua acount, sasa kabla ajaingia mkenge,anahitaji kwanza nimpe nondo za kitaalamu khs bank rafiki kwa maskini...
Wakuu kama kilivyo kichwa cha habari nimefungua salon ya kiume hapa DSM maeneo ya DUCE sasa TRA kila wakipita inabidi tufunge, kwa anayejua hivi salon inaweza kuwa sh ngapi kwa mwaka?
Mimi...
Miezi mitatu na nusu sasa inatosha kukupa picha ya muelekeo wa maisha yako kwa mwaka huu wa 2017.
Hakuna siri wala huitaji nabii kukutabilia December mwaka huu itakuwaje, kama hautafanya kitu...
Tumeelezwa ujenzi wa reli mpya unakaribia kuanza kwa awamu yake ya kwanza kutokea Dar mpaka morogoro.
katika hatua hii sisi wananchi kuna masali mengi inabidi tujiulize tunakoelekea ni wapi ili...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
EURUSD managed to hold out its bullishness last week, in spite of the current short-tern consolidation in the market...
Mwongozo kamili wa Whatsapp kuendesha biashara.
Je, wewe ni mfanya biashara wa kati au mdogo?
Kama simu yako ina whatsapp unaweza kuitumia kuendesha biashara yako.
Njia za kutumia Whatsapp...
Habari zenu wanajamvi!?
Wakati tukiingia katika karne ya 22 inayohusisha maendeleo ya sayansi na Teknolojia watanzania wamehamasishwa kuwekeza katika sekta ya sayansi na Teknolojia kwani ndipo...
Naomba kwa aliyeko dar, umri miak 24, mwenye ujuzi wa biashara, ambae yuko tayar kufanya kaz (kujiajiri) awasiliane nami inbox tufanye kaz na awe mwanamke
Habari wakuu.
Nina mpango wa kusajili kijigazeti ambacho nitaweza kushare na wenzangu kila asubuhi juu ya habari mpya na za zamani. Kwa kuwa humu JF ni jungu kuu, naombeni msaada wa hatua za...
Habari za Asubuhi wanajamvi,
Nina imani kuna wafanyakazi wenye ufahamu na jambo hili,
Naombeni msaada wenu,
Nataka kujua ni kiasi gani cha juu kabisa cha mkopo ambacho mfanyakazi anaweza kukopa...
Sielewi Prof. Ndulu na wengine wanaposema uchumi wetu unakuwa. Uchumi wetu unakuwa kivipi ilihali naona watu vijijini bado wako gizani, maji hawana, shule hazina vitabu, na bei ya bidhaa...
Salaam alaykum wapendwa.. naomba kwa yoyote ambae ana ujuzi wa kutumia amazon kama sehemu yake ya kununulia bidhaa kwa njia za mtandao anisaidie procedures zake na namna ya kufanya mzigo...
Nahitaji msaada wa mawazo juu ya wazo la uanzishaji wa biashara ya duka la kuuza na kukodisha CD ikiwepo na tigo pesa lakini kuna jengo ambalo ni sehemu nzuri kufungua kitu kama shule ya watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.