Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake...
Katika kuhakikisha uchumi Wa Tanzania unastawi kampuni ya Vodacom Tanzania imeamua kuunga mkono jitihada za kustawisha uchumi katika ukuaji imara katika sekta ya viwanda kwa kuhakikisha huduma na...
Habari zenu wana jamii F!
Naamini wote wazima,mimi ni kijana ninaependa maendeleo na kujifunza vitu vingi zaidi...
Nilikuwa naomba kwa wanaofahamu() ,naombeni mnifahamishe/mnielimishe kuhusu zao...
Wengi miongoni mwetu wamekuwa wakitaka kujua HISA ni nini, shauku hii imenifanya nidodose kidogo juu ya hisa kwa faida ya wengi. Kwa tafsiri lahisi HISA NI UMILIKI.
Mtu akisema nina hisa NMB...
Habari wanajamvi?
Miezi michache iliyopita kampuni ya usafiri wa anga hapa nchini Tanzania FastJet ilisitisha matumizi ya ndege za Airbus A319 na kuamua kutumia ndege ndogo za Embraer E190 kwa...
8 Reasons To Own Gold
A history of holding its value
Weakness of the U.S. Dollar
Inflation
Deflation
Geopolitical Uncertainty
Supply Constraints
Increase Demand
Portfolio Diversification...
Habari wanaJF,
Hivi inawezekana kutengeneza juice ya miwa na ukawa unaiuza supermarket? Sijawai kuona inauzwa supermarket yoyote ile na natamani nijue process zake za kuhifadhi ili isiharibike.
One of the frustrating things about being a trend follower is that it takes time to overcome the inertia of a new system, particularly if that system is based upon slightly longer time periods...
Mimi nimekuwa nikinunua bidhaa kupitia ebay.com, lakini sasa nilitaka kununua kitabu kupitia amazon.in imekuwa ngumu coz wao wanaship bidhaa zao ndani ya India, sasa nilikuwa naomba msaada kama...
Siku zote kuna vitu vinakera lakini kumpuuza mteja kwenye ni Tatizo lenye kuumiza Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mtandao wa Airtel lakini nimeamua kuhama rasmi hawajali kabisa wateja wao. Kuanzia...
1.Fanya utafiti wa kutosha juu ya biashara unayotaka kuazisha sio tu kwa kuwa kuna mtu unayemjua amefanikiwa kutokana na biashara hiyo. Pia hakikisha unajua ni nini utakifanya endapo biashara hiyo...
Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) itaanza kuuza hisa zake milioni 560 kwa thamani ya Shilingi 850 kila hisa. Mauzo yataanza tarehe 09.03.2017 na...
Ndugu zanguni
Salam sio pesa kwamba nisipo kupa hutaishi
Mwaka 2009 Mungu alinipa chombo cha moto, yani pikipiki,, (mtumba) Lakini kwa bahati mbaya Pikipiki hiyo mwishoni mwa mwaka 2011 ikawa...
Habari ndugi zangu,
Baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu bila mafanikio sasa nimeamua nifanye ujasiriamali, nahitaji mtu ambae tunaweza kushirikiana nae katika biashara hapa Dar, jinsia yoyote...
Trading electrical items is the profitable business in Tanzania. And if you put things right this business guarantee 100 percent your money back within a reasonable period of time from setting up...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.