Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wakuu anayefahamu kuhusu hii application anielekeze jinsi ya kukopa pesa na unarudishaje?
0 Reactions
44 Replies
21K Views
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kuhakikisha uchumi Wa Tanzania unastawi kampuni ya Vodacom Tanzania imeamua kuunga mkono jitihada za kustawisha uchumi katika ukuaji imara katika sekta ya viwanda kwa kuhakikisha huduma na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii F! Naamini wote wazima,mimi ni kijana ninaependa maendeleo na kujifunza vitu vingi zaidi... Nilikuwa naomba kwa wanaofahamu() ,naombeni mnifahamishe/mnielimishe kuhusu zao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wengi miongoni mwetu wamekuwa wakitaka kujua HISA ni nini, shauku hii imenifanya nidodose kidogo juu ya hisa kwa faida ya wengi. Kwa tafsiri lahisi HISA NI UMILIKI. Mtu akisema nina hisa NMB...
2 Reactions
30 Replies
44K Views
Namna gani unaweza kuanzisha Foundation? faida na hasara zake, msaada wana jamvi.
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Habari wanajamvi? Miezi michache iliyopita kampuni ya usafiri wa anga hapa nchini Tanzania FastJet ilisitisha matumizi ya ndege za Airbus A319 na kuamua kutumia ndege ndogo za Embraer E190 kwa...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi ATM kutoa pesa zilizochakaa ni kiashiria cha nini. Kwa uelewa wangu ni kwamba mzunguko wa pesa ni mdogo. Nawaalika wataalamu kutiririka hapa.
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Watanzania wenzangu naomba kujua hali ya uchumi wetu ktk viwango vya kimataifa upo jeee???.
0 Reactions
0 Replies
680 Views
8 Reasons To Own Gold A history of holding its value Weakness of the U.S. Dollar Inflation Deflation Geopolitical Uncertainty Supply Constraints Increase Demand Portfolio Diversification...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Habari wanaJF, Hivi inawezekana kutengeneza juice ya miwa na ukawa unaiuza supermarket? Sijawai kuona inauzwa supermarket yoyote ile na natamani nijue process zake za kuhifadhi ili isiharibike.
2 Reactions
7 Replies
3K Views
One of the frustrating things about being a trend follower is that it takes time to overcome the inertia of a new system, particularly if that system is based upon slightly longer time periods...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Mimi nimekuwa nikinunua bidhaa kupitia ebay.com, lakini sasa nilitaka kununua kitabu kupitia amazon.in imekuwa ngumu coz wao wanaship bidhaa zao ndani ya India, sasa nilikuwa naomba msaada kama...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Siku zote kuna vitu vinakera lakini kumpuuza mteja kwenye ni Tatizo lenye kuumiza Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mtandao wa Airtel lakini nimeamua kuhama rasmi hawajali kabisa wateja wao. Kuanzia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
1.Fanya utafiti wa kutosha juu ya biashara unayotaka kuazisha sio tu kwa kuwa kuna mtu unayemjua amefanikiwa kutokana na biashara hiyo. Pia hakikisha unajua ni nini utakifanya endapo biashara hiyo...
7 Reactions
4 Replies
2K Views
Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) itaanza kuuza hisa zake milioni 560 kwa thamani ya Shilingi 850 kila hisa. Mauzo yataanza tarehe 09.03.2017 na...
0 Reactions
93 Replies
15K Views
Ndugu zanguni Salam sio pesa kwamba nisipo kupa hutaishi Mwaka 2009 Mungu alinipa chombo cha moto, yani pikipiki,, (mtumba) Lakini kwa bahati mbaya Pikipiki hiyo mwishoni mwa mwaka 2011 ikawa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa wenye uelewa na e wallet je kuna bank yoyote hapa tanzania inayotoa huduma za e wallet?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari ndugi zangu, Baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu bila mafanikio sasa nimeamua nifanye ujasiriamali, nahitaji mtu ambae tunaweza kushirikiana nae katika biashara hapa Dar, jinsia yoyote...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Trading electrical items is the profitable business in Tanzania. And if you put things right this business guarantee 100 percent your money back within a reasonable period of time from setting up...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom