MASANJA MKANDAMIZAJI
AKILI YAKO UTAJIRI WAKO:
Laki tano, Mshahara wa Ma-Teller wa Benki hapa mjini Laki Tano, Bei ya TECNO PHANTOM mpya kabisa kwa kujishau Snapchat na Istagram Laki Tano, Bajeti...
Haya wale nduguzangu wa tanga...
Kuanzia jana mjini Tanga kuna supermarket mpya imefunguliwa inaitwa Mkwabi.
NASACO Building, Independence Avenue
M excited sababu bwana mambo ya kwetu maduka...
Habari zenu wakuu wa jukwaa hili,
Naomba kuelimishwa juu ya Biashara ya kimataifa kama ifutavyo:
1.Soko la dunia ninini?
2.Nawezaje kuuza bidhaa yangu nje ya nchi mfano:nataka kuuza Dengu India...
Kutokana na mwendelezo unaofanywa na hii mitandao ya simu nakusudia kuishtak kampuni ya tigo kitengo cha tigopesa kwa kutonirudishia hela yangu niliyokosea kutuma yapata miezi miwili iliyopita...
Habari wanajamvi,
Ikiwa mtu ni mwajiriwa serikalini ambaye anatoka kazini saa tisa na nusu jioni lakini pia mtu huyo ni fundi bomba wa kujitegemea.
Je, mtu huyo anaweza akatumia mbinu zipi...
Sijawahi fanya biashara ya kuvuka boda, sasa nataka nisafirishe mazao yangu nijaribu na soko la Kenya kama naweza kupata angalau faida maana huko Dar madalali hawana huruma na mtaji wangu.
Mwenye...
Tanzania kuna utitiri wa mabenki.
Je ni benki gani yenye huduma mbovu zaidi?
Kuanzia huduma kwa wateja, bidhaa, makato, huduma za mikopo,uaminifu na huduma za atm
Habari za jioni ndugu
Katika gazeti la mwananchi wameripoti kuwa kumetokea kupanda kwa bei unga wa sembe kutoka 700 mpaka 2200 kwa kilo moja. Hali inayopelekea kutokea ugumu wa kula ugali na...
Habari za muda huu ndugu zangu! Naomba kwa mwenye ufahamu na maswala ya biashara, je kwa mtaji wa laki saba naweza kuanzisha biashara gani? Ambayo itakuwa na mzunguko mzuri, Naombeni ushauri wenu...
Kijana tambua kuna kushiriki na kushirikishwa Je katika utaratibu wako wa maisha yako ya kila siku ukigawa mawazo na utendaji wako katika % wewe ni mshikriki au mshikishwaji....?
katika muktadha...
Habar wakuu? nafanya biashara ya samaki aina ya sato na sangara toka mwanza.. target ni kuongeza soko kwa kuuza samaki nje ya mwanza.. kwa wale mlio nje ya mwanza fursa hii tufanye kazi kama kweli...
Habar ya week-end wanajf, Kuna siku nilipita mtandaoni, nikakutana na habar ya kuanzishwa Kwa shindano la ujasiria Mali vyuon, naomba mwenye taarifa kamili anipe ufafanuzi tafadhar
Tanzanian capital Dar es Salaam’s real estate has been ranked ahead of Nairobi and Addis Ababa in the World Bank’s latest cities report, which cites land fragmentation and weak property rights as...
MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI
✍Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.