Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) itaanza kuuza hisa zake milioni 560 kwa thamani ya Shilingi 850 kila hisa. Mauzo yataanza tarehe 09.03.2017 na...
Ndugu zanguni
Salam sio pesa kwamba nisipo kupa hutaishi
Mwaka 2009 Mungu alinipa chombo cha moto, yani pikipiki,, (mtumba) Lakini kwa bahati mbaya Pikipiki hiyo mwishoni mwa mwaka 2011 ikawa...
Habari ndugi zangu,
Baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu bila mafanikio sasa nimeamua nifanye ujasiriamali, nahitaji mtu ambae tunaweza kushirikiana nae katika biashara hapa Dar, jinsia yoyote...
Trading electrical items is the profitable business in Tanzania. And if you put things right this business guarantee 100 percent your money back within a reasonable period of time from setting up...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair trended downwards on March 13 and 14, testing the support line at 1.0600. From the support line, price rose by...
Wadau wa biashara,
Naombeni msaada wa umuhimu au faida nitakazozipata kwa kufungua business account yan akaunti ya biashara benki ila kabla ya hilo je naweza kufungua as a personal? Yan binafsi...
Niwatoe hofu wanajamii wote, hakuna sheria wala katiba duniani inayomlazimisha mtu kuhamia benki moja kwenye nchi, katika biashara kila mtu ana test zake, benki aliyoitaja mkuu wapo wanaoipenda na...
Miezi mitatu na nusu sasa inatosha kukupa picha ya muelekeo wa maisha yako kwa mwaka huu wa 2017.
Hakuna siri wala huitaji nabii kukutabilia December mwaka huu itakuwaje, kama hautafanya kitu...
welcome Ladies and gentleman our Group
Buy and sell here
Get opportunities
Learn about entrepreneur
Welcome
Welcome
Follow this link to join my WhatsApp group: Opportunity&Entrepreneur...
Mhandisi Cosmas Kinasa akizungumza machache wakati akifunga rasmi semina ya ujasiriamali ya "Manjano Dream-Makers" kwa wanawake wa mkoa wa Mbeya akimwakilisha meneja wa SIDO Mkoa wa Mbeya. Mafunzo...
Wafanyabaishara 2,900 kutoka Ilala wamefunga biashara zao, wengine kuhamia DRC na Msumbiji kutokana na mdororo wa kibiashara- HT @ MWANANCHI
Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar...
WanaJF, na hasa wenye kitengo hiki cha biashara naomba ushauri wenu kuwa nifungue account kwenye bank ipi maana kampuni yetu ni changa na katika kukua tutahitaji mikopo toka bank husika...
Nimeona hii ripoti nikaona heri kuileta humu, Ndugu amka chapa kazi
Tanzania created 200 new dollar millionaires in 2016, a new report shows, sending out a picture that the government's cost...
Soko la mpira ni miongoni masoko yenye faida kubwa ya rejesho kwa wanahisa wake wote!!! Jiulize kwanini matajiri wakubwa huchagua kuekeza kwenye soko la mpira kwa mfano mohamed dewji na simba...
Jamani mi nataka kufungua duka la dawa
Kuna shekhe mmoja kaniambia Nyota yangu sio ya kukaa Dukan
Jaman nauliza eti biashara inaendana na nyota???
Hapa nimechanganyikiwa nimeshanunua...
Kutoka na kuongezka kwa matumizi ya shilingi ya sarafu 50, 100, 20 na 500 madukan, sokon, kwenye shell ,machine za kusagia na nauli nini maana yake yan not zimekua chache sana kiasi kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.