Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

JF Prefixes:

Ndugu wana JF, Natumaini kila mtu anajua uchumi wa Marekani na wa dunia umekumbwa na Misukosuko. Mataifa makubwa yamepata madhara makubwa ikuwepo viwanda kufungwa kutokana na kukosa wateja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bandugu kuuliza si ujinga. Nimekuwa nikisikia/kusoma maneno haya (Economic Recession, Depression, Bail out) hasa siku hizi ambapo uchumi wa dunia unayumba. Je nini hasa maana ya maneno haya kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa Mh. Mbunge wa Musoma vijijini, Nimrod Mkono alimchangia Obama kwenye kampeni yake USD 1Million, Obama akauliza huyu Mkono ni nani ningependa nimwone? Mkono akakaribishwa Marekani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MKURUGENZI wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Emmanuel ole Naiko, amesema neno ufisadi linawatisha wawekezaji, hivyo kuwataka wananchi kulitumia kwa umakini huku wakiweka uzalendo mbele...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naam kama ugonjwa unaambukiza basi huu wa ATC (Any time cancellation) umeashaanza kuambukiza. Sikuamini masikio yangu pale JRO niliposikia kuwa ndege ya KLM nayo imepata mafua ya ATC. Badala ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nikiwa mteja wa hii benki napenda kutoa masikitiko yangu kwa tawi lenu lilopo maeneo ya mikocheni. Kwa kipindi cha mara nne ndani ya mwezi 1 nimekwama kutoa pesa kwani huwa nakumbana na ujumbe...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Dar external trade deficit up by 66pc By JOSEPH MWAMUNYANGE THE EAST AFRICAN Posted Friday, January 23 2009 at 22:35 Tanzania’s external trade deficit for the year ending October...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A jump in food prices in Tanzania pushed the east African country's inflation rate to 13.5 percent in December, although a global fall in oil prices helped lower energy costs, official data showed...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Shukrani za dhati kwa TPN -hasahasa Mwenyekiti wake mzalendo Mtsimbe- kwa kujitahidi kubuni njia mbalimbali za kuwezeshana katika uwekezaji. Leo naomba niirudishe tena TPN hapa JF huku nikiwa na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
FOUR TANZANIA LUXURY PROPERTIES IN THE "100 BEST IN THE WORD" CONDE NAST TRAVELER READERS CHOICE AWARDS Four deluxe Tanzania properties were featured in the leading travel magazine in the US...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanabaraza, Tumekuwa tukichangia kuhusiana na vita dhidi tya Rushwa Tanzania. Kuna mtu anaweza kunifaamisha gharama ya rushwa Tanzania kwa Mwaka? Mwenye data naomba kufahamishwa. Nimejaribu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepita madukani sasa hivi kununua sabuni ya unga ya kufulia. Baada ya soko huria viwanda vingi vya sabauni vilianzishwa baadhi ni Foma (Tanga), Tesa (IPP/Mengi), na Murzah. Hivi karibuni...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Heritage Oil announced details of a large oil discovery in Uganda yesterday, which the company claimed could be the largest onshore discovery in sub-Saharan Africa. Heritage said that its...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu Zangu, nimeipata hii makala kule kwa michuzi, lakini kwa bahati mbaya wanamtandao wanamjadili mtoa mada badala ya mada yenyewe. Je tunaweza kuijadili hii bila kumjadili mtoa mada? CAN...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello folks, I found this and thought could be informative. Pls download the attachments. Singapore New Zealand United States Hong Kong, China Denmark United Kingdom Ireland Canada Australia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
RBZ unveils $100 trillion note Imerippotiwa na gazeti la serikali - Unaweza soma hapa Herald Reporter THE Reserve Bank of Zimbabwe has introduced a new family of trillion-dollar banknotes...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kama kuna mtu ana uzoefu hivi mwaka ambao gari linatozwa charge ya uchakavu ni chini ya mwaka 1999 au 2000? Mfano nikiagiza gari ya mwaka 1999 nitatozwa kodi ya uchakavu na TRA?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
By: Liezel Hill Published on 16th January 2009 The world's biggest gold-miner, Toronto-based Barrick Gold, is looking at a range of acquisition opportunities, said president and CEO Aaron...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba kuuliza kuhusu noti za dola ya marekani za miaka chini ya 2000; 1)Serikali/BOT wamewahi kutoa tamko lolote kuhusu matumizi ya noti za dola ya marekani zenye miaka chini ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
2009-01-15 02:01:00 Bunge team warns Govt over Ticts By Mwanamkasi Jumbe THE CITIZEN Members of the Parliamentary Committee on Infrastructure Development, yesterday threatened to take...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom