Sembe yapanda bei Zanzibar

srinavas

JF-Expert Member
Jun 5, 2011
4,031
3,594
Habari za jioni ndugu

Katika gazeti la mwananchi wameripoti kuwa kumetokea kupanda kwa bei unga wa sembe kutoka 700 mpaka 2200 kwa kilo moja. Hali inayopelekea kutokea ugumu wa kula ugali na ugali kupanda bei.

f2c98ca3697745a367b768e382aa4ae3.jpg


12c30d85ed8ba460f1f77ba3130cb4c2.jpg


53b8e6e0814cadcce9ff54f10fd3703a.jpg



Ama kweli hali kwa sasa inazidi kuwa mbaya. Sijui ni wapi tunaelekea
 
Back
Top Bottom