for more info on the book visit, Dambisa Moyo | Author and Economist
listen to her interview on, BBC iPlayer - HARDtalk: Dambisa Moyo, Economist and author
Embu msikilize kwa makini...
Wachumi hii imekaaje?
ukinunua airtime recharge voucher unalipia VAT
ukiitumia pia unalipia VAT per minute talktime
hizi caculation zikoje jamani,wenye upeo zaidi watujulishe.
NSN sasa kuendesha shughuli za Vodacom Send to a friend
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, imekubaliana na kampuni ya Nokia Siemens Networks (NSN) ili NSN itoe huduma za mtandao...
By NATION CORRESPONDENTPosted Sunday, January 16 2011 at 18:11
Tanzanians spent a whopping TSh555 billion ($396 million) on phone calls and text messages in three months, according to a new...
Inasemekana kama kuna mtu unamdai halafu hataki kukulipa na hasa kama ni mdosi basi mwone yule mtu mfupi mweusi anavaa suti oversize ambaye ni owner wa Easy Finance.
Jamaa unaambiwa methods...
wapi naweza kupata mikataba kati ya serikali na Makampuni binafsi/taasisi za kimataifa.Je Wizara ya sheria au kwa mwanasheria mkuu wanayo hii mikataba ambayo tunaona Ministers and Makatibu Wakuu...
Kuna wazo la biashara linanijia lakini sina mtaji ,ngoja niwauzie wanachama hapa watanipoza kidogo!
Nchi sas hivi inazizima kwa masual ya katiba mpya na malipo ya dowans..ukitengeneza tshirt...
Takukuru wadaiwa kusababisha hasara Vodacom Send to a friend
Phinias Bashaya, Bukoba
MAOFISA wawili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) Mkoa wa Kagera wanahusishwa na upotevu...
Wakuu,
Nimetoka NSSF kuchukua kadi mpya sasa hivi pia nikapata kucheki salio langu, yaani wakinipa hizo pesa leo nina uhakika wa kuwa na nyumba ya kisasa.
Ombi langu kwa mifuko hii wangebuni...
Nina elimu ya certificate katika mambo ya Hoteli hivyo uwelewa wangu ni mdogo katika maswala ya uchumi. Nasikiaga mara kwa mara viongozi wakiongea kwenye hotuba zao kwamba uchumi umekuwa/umeshuka...
2011-01-02 Tanzania - U.S.$123 million wind energy project deal sealed
The Tanzanian National Development Corporation (NDC) and Power Pool East Africa have...
The code instructs employees on everything from their breath - no garlic or onions, please - to their underwear, which should be skin-colored.
"We're reviewing what is important to us," UBS...
LICHA ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) kuwa na historia ndefu iliyopitia mabadiliko mbalimbali ya kiutawala na kimfumo, bado ukongwe wake wa miaka 107 hauendani na kasi kubwa ya...
Kwa mujibu wa taarifa ya TCRA, kwa kipindi cha miezi 3 (July - September 2010) Watanzania walitumia kiasi cha shilingi bilioni 555 kwa kupiga simu na kutuma msg.
Matumizi hayo yalikuwa ni...
Leo nimeshitushwa na simu ya mtu niliyemtuma kwenda kununua gas kg 15 nikiwa nimempatia Tshs 55,000 lakini aliniambia kuwa gas ni Tshs 70,000 nilimwambia aache porojo, ndipo aliposisitiza kuwa bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.