Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 351
Habari JF
Ningependa kujulishwa...Gharama na mchakato mzima wa ushuru wa magari ukinunua kutoka nje....kwa mfano CFI ni $8800 mpaka Dar es Salaa Port....Gharama mpaka unatoa nje ya port unaendesha inakuwaje....wengine wanasema ni 50% ya CFI...Wengine wanasema ni 62.5 ya CFI...Which is which?
Then wanasema TRA wao nao huwa wanathaminisha gari kwa wanavyo jua naweza jua mchakati mzima huo wa kuthaminisha?Ni wakiaje?
Natanguliza...Kuna Ford yangu inakuja kwa bei hapo juu sasa sijui mpaka kuingia na kuitembeza itakuwaje bei ya ujumla.
Shukrani.
Ningependa kujulishwa...Gharama na mchakato mzima wa ushuru wa magari ukinunua kutoka nje....kwa mfano CFI ni $8800 mpaka Dar es Salaa Port....Gharama mpaka unatoa nje ya port unaendesha inakuwaje....wengine wanasema ni 50% ya CFI...Wengine wanasema ni 62.5 ya CFI...Which is which?
Then wanasema TRA wao nao huwa wanathaminisha gari kwa wanavyo jua naweza jua mchakati mzima huo wa kuthaminisha?Ni wakiaje?
Natanguliza...Kuna Ford yangu inakuja kwa bei hapo juu sasa sijui mpaka kuingia na kuitembeza itakuwaje bei ya ujumla.
Shukrani.