Ulevi mbaya

Ulevi mbaya

mwl

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
1,101
Reaction score
914
Mlevi mmoja alipita makaburini usiku bahati mbaya kulikuwa na kaburi lililochimbwa hajazikwa mtu, akatumbukia, kila alivyojaribu kutoka ikashindikana, akaamua kulala mule, muda si mrefu akapita mlevi mwengine naye akatumbukia, kwa sababu ya giza hakuona mtu, akajaribu kutoka akasikia sautu ikimwambia HUTOKI HUMU akafa palepale.
 
Mlevi mmoja alipita makaburini usiku bahati mbaya kulikuwa na kaburi lililochimbwa hajazikwa mtu, akatumbukia, kila alivyojaribu kutoka ikashindikana, akaamua kulala mule, muda si mrefu akapita mlevi mwengine naye akatumbukia, kwa sababu ya giza hakuona mtu, akajaribu kutoka akasikia sautu ikimwambia HUTOKI HUMU akafa palepale.

Upo darasa la ngapi mheshimiwa, nahisi la kwanza au la pili hivi!
 
Mlevi mmoja alipita makaburini usiku bahati mbaya kulikuwa na kaburi lililochimbwa hajazikwa mtu, akatumbukia, kila alivyojaribu kutoka ikashindikana, akaamua kulala mule, muda si mrefu akapita mlevi mwengine naye akatumbukia, kwa sababu ya giza hakuona mtu, akajaribu kutoka akasikia sautu ikimwambia HUTOKI HUMU akafa palepale.

Hivi unajiita au wanakuita mwalimu?
 
Kajipange tena kijana

  • A%20S%20103.gif

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom