Kicheko ni Dawa…!

Kicheko ni Dawa…!

Kinyungu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
22,318
Reaction score
44,865
Uvimbe kwenye Ubongo :

Daktari: Nasikitika kukwambia una uvimbe kwenye Ubongo.

Masawe: Ndiyo (akaruka kwa furaha)

Daktari: Umenielewa nilichokwambia?

Masawe: Ndiyo nimekuelewa unafikiri mimi ni mjinga?

Daktari: Sasa mbona umefurahi sana kama umenielewa?

Masawe: Kwa sabau hiyo inathibitisha ubongo wangu unafanya kazi!
 
Back
Top Bottom