Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,322
- 2,896
Baba mmoja alikuwa na mazoea ya kulala uchi. Siku moja wakati anajiandaa kulala akavua nguo, mara mtoto kaingia chumbani bila hodi. Baba akaona hii noma, ikabidi aufiche u b o o katikati ya mapaja huku akikimbilia kitandani. Kumbe u b o o umetokeza unaonekana kwa nyuma, mtoto akapiga kelele 'mamaa, mamaa, baba anapanda na mavi kitandani'