JK kiboko yao

JK kiboko yao

segwanga

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
2,788
Reaction score
731
Jk amekuwa bingwa wa kuwaunganisha watanzania katika mambo ya kijamii.

Amefanikiwa kutembelea hadi gerezani kuona jinsi maisha yalivyo,amehudhuria misiba mingi pengine kuliko rais mwingine aliyemtangulia.

Kimataifa ndo usiseme anga linamjua kuwa JK ni nani.

Njoo kwenye ahadi, JK ni hazina bora ya ahadi Tanzania nadhani hata rais ajaye atakuwa anam-consult JK.

JAMBO lililonifanya nianzishe thread hii ni kuwa JK si mdini ila wanaomzunguka ndo wadini. JK amehudhuria sherehe za kuwekwa wakfu maaskof kibao wa kikristo.

JK NI BABA LAO
 
Ndugu naomba nikuweke wazi kabisa kuwa nia na dhumuni lako kuanzisha hii thread tumeshaling'amua, chunga sana kwa sababu muda wako wa kuwa JF unahesabika. Maxence yupo wiki nzima hii jukwaa la siasa kurekebisha hali ya hewa, angalia sana
 
Wewe ulitaka mpaka awe na lebo ya udini ndo umwone ni mdini?shetani anapoamua kuingia kanisani ana maanisha yeye si shetani tena?baadae utasema J.K siyo fisadi,tatizo ni Takukuru ama utasema J.K si mzinzi bali mawaziri wake ndo wazinzi...je nyoka anapoamua kuingia nyumbani kwa mtu ina maana nyoka ni rafiki wa binadamu?rudi tena ukatafakari mkuu
 
Uzuri wa ulanzi ni kuwa ukinjwa baada ya kama masaa matatu unakuisha kichwani. Nimekusamehe bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom