JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mpare mmoja alianguka kwenye kisima cha maji akawa anapiga kelele huku anatapatapa .Mkewe akaja na kamba mpya akamrushia,maongezi yao yalikua kama ifuatavyo;Mume: Kamba umenunua sh...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wife wangu ni form 4 na mama wa house_kingaste ni std seven na tajir kwel kwel_hata cku moja ckuweza kujua the gap btn wife na kingaste _cku moja nikamuomba ruhusa wife ili nitoke alone kwa mising...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
A distinguished young woman on a flight from Ireland asked the priest sitting beside her, 'Father, may I ask a favor? 'Of course, child. What may I do for you? 'Well, I bought an expensive...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pengine tuanze kuchagua mc kwa kuangalia na uzoefu na uzoefu sio idadi bali mpaka sasa ndoa ngapi alizoshehekesha bado hai..nimekuja kuona kuna umuhimu mkubwa unajua kuna w atu wanatembea na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamaa mmoja wa kipemba aliingia dukani Dar kununua viatu, mwenye duka akamueleza kuwa siku 3 za kwanza viatu vitamuumiza na huenda vikamtoa malengelenge, jamaa akachukua viatu kufika nyumbani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilikuwa naangalia kipindi cha Mimi na Tanzania kinachoongozwa na Hoyce temu.. Chanel Ten Ni kuhusu mtoto Shigella William yatima anayeishi Mwanza 14 years old na anayeishi na Virus vya ukimwi...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamaa mmoja alimuona kilaza akikimbia akamsimamisha na kumuuliza mbona anakimbia? Kilaza akajibu "nimechoka kutembea"
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Frankie Beverly and Maze - Before I let go.... Nimeshindwa kuweka youtube link hapa mnisaidie wale mnaojua
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naiombea chupi ya mume wangu, naitasaka kwa damu yako, anapotoka katika nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu. Kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani kwangu baba iwe kwa ajili ya...
2 Reactions
38 Replies
7K Views
HOME INTERNAL MEMO FROM: Father TO: ALL DEPENDANTS AND RELATIVES CC: MOTHER BCC: Girl friend SUBJECT: FINANCIAL MELTDOWN/COST CUTTING MEASURES FOR YOUR URGENT ATTENTION Due to the current...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
huenda Raisi wetu akazuru mwezini siku za hivi karibuni kabla hajang'atuka. make mwezini ndo sehemu pekee iliyo bakia ambayo hajafika
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
ni wale wa ccm. inajulikana kuwa kwa sasa kuna kila harakati ndani ya chama kinachojiita tawala watu kujipanga kuwa wapangaji wa magogoni-feri. wengi wao wanaamini anguko la mzee wa monduli ni...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
eti wapemba wana penda tigo mambo kibaooo, jamani mimi kwetu zanzibar tena uko kisiwani pemba, lakin icho kitu sio kweli, na watu wanasema kitu ambacho hakipo, japo kua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
.. Find me there on fb and add me tuwe friends .. Nitakuaccept ucjali .. Jina ni Mohammad Farouq Omar
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nakumbuka tukiwa shule ilikuwa ukitokea mgomo wanafunzi tukagoma siku ya 1, 2 , siku ya 3 munkari ilikuwa ikipanda sana, wote tulikuwa tayari hata kufukuzwa, moyo wa kuendelea na mgomo ulikuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajinga wawili walikutana mmoja akamuuliza mwenzake wapi anaenda, akamjibu "sijui ninapoenda", na yeye alipoulizwa akasema vilevile "sijui ninapoenda", basi mmoja akamwambia mwenzake "tufanye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
YouTube - ‪Kiuno Dance‬‏
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa - Mama mkwe nimekuja kuleta shitaka Mama Mkwe- shitaka gani mwanangu? Jamaa-haiwezekani mwanao anizalie watoto ambao sifanani nao hata kidogo. Mama mkwe-Eeeh kijana naomba tuheshimiane...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa kutoka Kagera alienda majuu akapiga picha na punda akaituma nyumbani, akaandika chini ya picha "mimi ndie nipo upande wa kulia"
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yea jf mambo vp,jaman nisaidien kufaham kuhusu suala zima la mapenzi. 1.hivi nn hasa maana ya mapenzi? 2.hakuna maisha bila mapenzi? 3.kwnn baadhi ya watu wanajiua kwa ajili yamapenzi? 4.siku...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Back
Top Bottom