FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Nilikuwa naangalia kipindi cha Mimi na Tanzania kinachoongozwa na Hoyce temu..
Chanel Ten
Ni kuhusu mtoto Shigella William yatima anayeishi Mwanza 14 years old na anayeishi na Virus vya ukimwi..
Na kionekana zaidi ni muumini wa dini ,aliekuwa na imani thabiti juu ya Kikombe cha babu..
kwa imani yake Alienda kunywa Kikombe cha babu Loliondo na aliporudi baada ya siku 21 aliamua kwenda kupima na kujua kama amepona..
Hoyce alimpeleka Clinic kupima na vipimo vyake kuonyeshwa kila hatua lakini majibu yalionyesha bado ameathirika..
Lakini alipopokea majibu hayo alinyong'onyea kidogo na bado aliendelea kumshukuru mungu kwa kila kitu na kisha kusali..
ooh my god ameniliza na ushuhuda huu umeniumiza moyoni na kubaki natafakari kwa huzuni sana ..
Nimeamini kweli Loliondo ni imani ya mtu ..
Nijulisheni wenzangu inakuwaje wengine wanatoa ushuhuda wamepona na wengine hawaponi...
Iweje mtoto mdogo kama Shigella anayeonekana ni mwingi wa imani hakupata uponyaji huu???na ugonjwa wake inavyoonekana alipata maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
Nafedheheka sana wadau.... weekend yangu imekuwa ya mawazo...Muwe na weekend njema yangu si njema tena
Chanel Ten
Ni kuhusu mtoto Shigella William yatima anayeishi Mwanza 14 years old na anayeishi na Virus vya ukimwi..
Na kionekana zaidi ni muumini wa dini ,aliekuwa na imani thabiti juu ya Kikombe cha babu..
kwa imani yake Alienda kunywa Kikombe cha babu Loliondo na aliporudi baada ya siku 21 aliamua kwenda kupima na kujua kama amepona..
Hoyce alimpeleka Clinic kupima na vipimo vyake kuonyeshwa kila hatua lakini majibu yalionyesha bado ameathirika..
Lakini alipopokea majibu hayo alinyong'onyea kidogo na bado aliendelea kumshukuru mungu kwa kila kitu na kisha kusali..
ooh my god ameniliza na ushuhuda huu umeniumiza moyoni na kubaki natafakari kwa huzuni sana ..
Nimeamini kweli Loliondo ni imani ya mtu ..
Nijulisheni wenzangu inakuwaje wengine wanatoa ushuhuda wamepona na wengine hawaponi...
Iweje mtoto mdogo kama Shigella anayeonekana ni mwingi wa imani hakupata uponyaji huu???na ugonjwa wake inavyoonekana alipata maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
Nafedheheka sana wadau.... weekend yangu imekuwa ya mawazo...Muwe na weekend njema yangu si njema tena