Shule zimefungwa eeh??
me na muislam wapi na wapi kaka!.. Find me there on fb and add me tuwe friends .. Nitakuaccept ucjali ..Jina ni Mohammad Farouq Omar
Loh...udini mpaka kwenye urafiki?!me na muislam wapi na wapi kaka!
Halaf mnamsema JK ana udini, afadhali yeye 'kama anao' anaufanya kimya kimya kuliko wewe unauonyesha kwa chuki.me na muislam wapi na wapi kaka!
Mkuu kwa ubaguzi duh! Ungezalia hispania bwana!me na muislam wapi na wapi kaka!
JK ni mdini tena sana, ona majuzi wenzie wamemwalika sherehe yeye akawachokoza ma askofu, eti kasema wanauza unga duh!Halaf mnamsema JK ana udini, afadhali yeye 'kama anao' anaufanya kimya kimya kuliko wewe unauonyesha kwa chuki.
ungewafahamu tabia zao huko masjid ungenipongeza dada angu,wanatudharau sana sisi wakristoLoh...udini mpaka kwenye urafiki?!