Mpemba na viatu

Mpemba na viatu

mwl

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
1,101
Reaction score
914
jamaa mmoja wa kipemba aliingia dukani Dar kununua viatu, mwenye duka akamueleza kuwa siku 3 za kwanza viatu vitamuumiza na huenda vikamtoa malengelenge, jamaa akachukua viatu kufika nyumbani akaviweka muda wa siku 3 ndio akaanza kuvivaa.
 
Ndio nini? Haileweki.

We ndo hujaelewa, great thinkers wa ukweli tumeshaelewa zamani. Ni kwamba jamaa alidhani kwa kuviacha hivyo viatu kwa muda wa siku tatu za mwanzo baada ya kuvinunua huenda ndiyo ingesaidia visimtoe malengelenge na hapo mwandishi alimmaniisha jamaa ni kilaza, upo!
 
Back
Top Bottom