Nimeshangazwa sana na CDM a.k.a MAGWANDA kwa kupalilia mkaa wa moto, na ukiisha waka wao wanakimbia bila ya kuuzima. Wao ndio waliowashawishi wanafunzi wa UDOM kugoma baada ya Lema kuwajaza...
These guys from Central are Genius.
This is a true story that took place last week in Kisauni Makaburini Mombasa!
A wealthy gentleman had passed on and was being buried at the Kongowea Cemetery...
Zaidi ya wanawake 250 wa mji mmoja nchini Kolombia wameanza mgomo wa kuwapa unyumba waume zao ili kuishinikiza serikali iifanyie marekebisho barabara inayoingia mjini humo...
Mwenzetu hajaja ofisini, tangu asubuhi tumejaribu kumpigia simu lakini simu yake ikawa haipatikani.
Jioni hii nimemetembelea nyumbani kwake na nimebahatika kukutana naye. Anasema lkashindwa kuja...
Wakati watanzania tunaendelea na uvumilivu kuhusiana na mgao wa umeme. Eti ni kweli wenzenu Senegal wametia kiberiti ofisi ya nishati kisa ni "MGAO WA UMEME"
Old Bwi (nick name) is at the bar and hes in one of his drink until everything is at forgotten stages.
The barmaid [a good friend] continually tells him hes had enough and should go home...
Jamani kuna kaka anakaribia miaka 45 anaishi kwao, anadai eti anataka kunioa. Nkamuuliza tutaenda kuishi wapi, ananiambia eti hapohapo kwao. Ameni upset ile mbaya.
Katika Gazeti Pendwa la Ijumaa toleo namba 679 lilinasa picha za mwanama mmoja ambaye jina lake lilidaiwa kuwa ni Tuma ambaye inasemekana kuwa ni mtoto wa kigogo akiwa amepiga picha chafu na...
wadau wa jf, kumekuwa na aina mbalimbali za magari kwa mfano, used na brand new, automatic na manual, ya mjapani, mchina, mfaransa, mmarekani, mjerumani na yale ya kibongo (nyumbu), na kwa...
Kuna huu wimbo nikisikia redioni kwamba jamaa anaogopa kurudi nyumbani mapema kuepuka kelele za mkewe (VUVUZELA). Hivi kuna watu kweli wamefikia hatua hiyo inayopelekea mwenza ajicheleweshe...
Nlikua ndani ya daladala, tulipofika kwenye kituo fulani mateja wakazinguana na konda na kuanza kutukana tena matus ya nguoni....mama m1 karibu yangu akaanza kulalamika na kusema jamani sasa...
Naiombea chupi ya mume wangu, naitakasa kwa damu yako anapotoka nyumbani katika nyumba hii, ivaliwe hapa na ivuliwe hapahapa tu, kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani baba basi iwe ni...
Dada mmoja kutoka sehemu fulani alitembea na mchina mmoja ili apate mtoto wa kichina. Akapata mimba akajifungua mtoto wa kiume na bahati mbaya mtoto huyo akafariki. Kwenye mazishi ya mtoto...
Mi nashangaa serikali hii,eti kampeni kamata kamata vijana wala unga!kwani nani asiyekula unga nchi hii?rais anakula unga,mawasiri wanakula unga,wambunge wanakula unga,matajiri kwa masikini wote...