Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Katika Gazeti Pendwa la Ijumaa toleo namba 679 lilinasa picha za mwanama mmoja ambaye jina lake lilidaiwa kuwa ni Tuma ambaye inasemekana kuwa ni mtoto wa kigogo akiwa amepiga picha chafu na njemba moja ambaye hakujulikana anafanya kazi wapi, sasa majibu yamepatikana.
Ukitaka picha zaidi bonyeza hapa Aliyepiga picha chafu kumbe kigogo wa Wizara - Global Publishers