Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
wadau wa jf, kumekuwa na aina mbalimbali za magari kwa mfano, used na brand new, automatic na manual, ya mjapani, mchina, mfaransa, mmarekani, mjerumani na yale ya kibongo (nyumbu), na kwa kuangalia haya magari yanatofautiana mambo mengi kama vile speed, uimara, uchemshaji wa injini, kuchoka haraka nk, nk ,nk...!!
sasa wewe mdau wa jf, je, unaweza kutuambia ni gari aina gani ungependa umiliki au una miliki gari lipi kati ya hayo yaliyotajwa...?? kwa nini unamiliki au unataka umiliki gari ulilolitaja...??? na kama unalimiliki unalionaje je, ungependa kuendelea nalo ama ungependa kuliTema...??
sasa wewe mdau wa jf, je, unaweza kutuambia ni gari aina gani ungependa umiliki au una miliki gari lipi kati ya hayo yaliyotajwa...?? kwa nini unamiliki au unataka umiliki gari ulilolitaja...??? na kama unalimiliki unalionaje je, ungependa kuendelea nalo ama ungependa kuliTema...??