Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmeshakula tunda?Jamani kuna kaka anakaribia miaka 45 anaishi kwao, anadai eti anataka kunioa. Nkamuuliza tutaenda kuishi wapi, ananiambia eti hapohapo kwao. Ameni upset ile mbaya.
Huyo sio kaka sema kuna mbaba. Halafu hukuona jika lako wewe mtoto? Huyo mjane utampeleka wapi? Lazma kaachika au kafiwa na mke.Jamani kuna kaka anakaribia miaka 45 anaishi kwao, anadai eti anataka kunioa. Nkamuuliza tutaenda kuishi wapi, ananiambia eti hapohapo kwao. Ameni upset ile mbaya.
mmeshakula tunda?
Amen, lakini mstari huu hauna sehemu walipo taja umri wa kuhama home"Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. " (Mwanzo 2:24).
Ni kweli kabisa mkuu!!hata hapa jamvini mbona kuna mibaba mingi tu inaishi kwa wazazi wao?
Tatizo kubwa hapa ni suala la uhuru!mtu anapokua anakaa nyumbani uhuru upungua sana!!ingekuwa vyema tungejua pakoje hapo kwao.manake kama anaishi na wazazi wake na yeye anasehemu yake unayoweza ishi nae wewe na watoto mkiwa nao sioni tatizo ni nini.....!! huolewi na nyumba unaolewa na mtu,hilo la pa kuishi ukiona hapakufai tafuta sehemu nyingine mkakae.
Hongera sana kwa ku encrypt tusi lako mkuu,huu ndiyo ustaarabu unaotakiwa!!Mwambie ahame kwa mama yake kwanza ***** huyo
Jamani kuna kaka anakaribia miaka 45 anaishi kwao, anadai eti anataka kunioa. Nkamuuliza tutaenda kuishi wapi, ananiambia eti hapohapo kwao. Ameni upset ile mbaya.
Jamani kuna kaka anakaribia miaka 45 anaishi kwao, anadai eti anataka kunioa. Nkamuuliza tutaenda kuishi wapi, ananiambia eti hapohapo kwao. Ameni upset ile mbaya.