Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,909
- 3,726
Nipo hapa kwa mangi napiga ngoma.mbege hii ina maunyama sana.karibun wakuu tupige vitu!!
Napenda mbege Ina ladha fulani hiviMkuu kama unajua kwa Dar wapi wanauza mbege?
Hiyo mbege naisikia lakini sijawahi kukutana nayo
Inauzwa wapi ama inatengenezwaje?Napenda mbege Ina ladha fulani hivi
Kilimanjaro ipo nyingi sana.Inauzwa wapi ama inatengenezwaje?
Hebu niende tiktok nitapata jibu kamiliKilimanjaro ipo nyingi sana.
Sijui huko mjini kwenu.
Nadhani wanatumia ulezi
Bei gani chupa?nipo hapa kwa mangi napiga ngoma.mbege hii ina maunyama sana.karibun wakuu tupige vitu!!
Nenda kibamba kwa mangi mkono wa lushoto kama unaensa kibaha kuna vilabu mbege inauzwa kama kijijini vileInauzwa wapi ama inatengenezwaje?
We unaisha wapiMkuu kama unajua kwa Dar wapi wanauza mbege?
Hiyo mbege naisikia lakini sijawahi kukutana nayo
Watu wanaendelea vya kwaoNenda kibamba kwa mangi mkono wa lushoto kama unaensa kibaha kuna vilabu mbege inauzwa kama kijijini vile
Kwa daresalamu mbege nzuri ni kibamba tuu hawa wengine ni longo longo yuuWatu wanaendelea vya kwao
Usinisahau na mimiHebu niende tiktok nitapata jibu kamili
Ina ladha fulani hivi. Ndo umeishia hapa?Napenda mbege Ina ladha fulani hivi
Siwezi kuielezeaIna ladha fulani hivi. Ndo umeishia hapa?
Kimara na huko bunjuMkuu kama unajua kwa Dar wapi wanauza mbege?
Hiyo mbege naisikia lakini sijawahi kukutana nayo
Hapa kuna chibuku ya jero na chibuku kubwa inauzwa bukuBei gani chupa?
njoo bunju A pale inapatikana originalMkuu kama unajua kwa Dar wapi wanauza mbege?
Hiyo mbege naisikia lakini sijawahi kukutana nayo