JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nani wana nafasi ya kipekee peponi kwenye ulimwengu wa jinsia pinzani?
19 Reactions
258 Replies
2K Views
Dah the voice kinyerez habari nyingine watu wanakula maisha Acha tuu karibun the voice
3 Reactions
10 Replies
652 Views
Kifungua kinywa (breakfast) bomba ni kipi?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Asubuhi: Ma-Don wa Chai ya Rangi Siku inaanza saa kumi na moja alfajiri kwa nyuzi za kujimwambafai. Raia wanaanzisha mada za "Niko Five star hotel Dubai..nakunywa capuchino ya Brazil huku...
8 Reactions
72 Replies
560 Views
Kichwa kina jieleza wakuu hivi ni kitu gani unafanya ila kila... Ukisema leo ni mwisho sirudii tena mara unajikuta unarudia tena ni kitu gani...?
4 Reactions
38 Replies
264 Views
Kama Kuna kitu hujawahi kukigundua kwa muda mrefu basi ni hii👉 "Namna picha ya profile yako inavyokuelezea wewe ni mtu wa aina gani ndani na nje ya mitandao ya kijamii." Hata hapa jamiiforums...
5 Reactions
20 Replies
259 Views
Mtu una acha kupiga mswaki una kazi ya kutafuna vitunguu saumu asubuhii na karafuu mdomo una anza kunuka kitunguu saumu aseee pigeni mswaki wengine hiyo harufu ya kitunguu ina kera sana hasa...
18 Reactions
85 Replies
721 Views
Asalam aleykum Sheikh.🙏🙏 Sheikh mie ni pagani.Ni atheist mie.Siitikii kengele wala adhana na kabla ya madhila hii kukupata sikuwa nikikufahamu na nashindwa kukupa pole sheikh sbb sijui kwanini...
7 Reactions
32 Replies
367 Views
Eti akipaa ndio kimbembe zaidi
5 Reactions
18 Replies
178 Views
Ukienda saloon ukimaliza kunyoa una ingia kuoshwa kichwa vizuri mpaka masikio ukifika nyumbn hakuna haja tena ya kuoga ni kulala tu 😂😂😂 sio kama zaman ukitoka saloon mbio mbio kuoga 😂
6 Reactions
18 Replies
228 Views
Hivi unajuaje humu unapigwa ban bila sababu za msingi,? Mods mnaonaje mkishea sababu ya mdau kupigwa ban jukwaani?🤔 Mnapiga ban nyepesi mno bila kutoa sababu na maelezo yakinifu 🤔
18 Reactions
146 Replies
939 Views
-Wikendi inakaribia tamati -Nimeshinda humu tangu jioni hadi vidole vinauma kisa kutype -huu mfumo ulioanza leo wa kutembeza ban umenichosha sana maana muda si mrefu yatanikuta pia...
8 Reactions
27 Replies
190 Views
Ni ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje...
31 Reactions
225 Replies
2K Views
Tofauti kati ya "BAR" na "BRA" ni nafasi tu ya herufi "R". Ukifungua BAR, wanaume husherehekea. Ukifungua BRA, baadhi ya wanaume hupagawa. 😅 Sasa hebu fikiria ukitoka na msichana mzuri anayeitwa...
2 Reactions
1 Replies
37 Views
JF SIO MAMA WALA BABA YAKO labda kama umeamua kuwa mjinga kama yeye, ila piga ignore, muache aendelee kujisemesha na ku-expose madudu yake. Ule muda unaoenda kazini, mwenzako amekaa kwenye kochi...
7 Reactions
9 Replies
62 Views
Mliopo single muda mwingine mjaribu kulala mlango wazi inawezekana soulmate wako ni mwizi
17 Reactions
80 Replies
672 Views
Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo...
39 Reactions
84 Replies
917 Views
Ni tetesi au habari zipi unazokumbuka ambazo zilivuma sana enzi hizo lakini hazikutokea. Ninazozikumbuka ni pamoja na tetesi kamba dunia ingefika mwisho mwaka 2000. Nakumbuka kuna watu walikuwa...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom