Picha linaanza wakuu nimezoea Mafinga ukifika rood unasubili magari yaishe ndo uvuke Leo apah Dar Si nimekaa masaa ma wili nasubili magari ya ishe lakin hayaishi ndo nikaona wat wanavuk TU ivo ivo...
Mzuka wana jamvi ...
Jf kitambo na hiko alikuwa member anayependwa sana hapa jamvini , muda mrefu sasa amepotea miss Chaga , baada ya kuona post yake Leo katika Uzi wa zamani nimekumbuka sana ...
1. The couple PFP
Ni profile picture ya wapenzi wawili wakikumbatiana, wakishikana mikono (soul tie). Hawa ndio wale Wanajionaga "Wamiliki wa Hati Miliki za Mapenzi"! 😅
Tafsiri ya Picha Jinsi...
Vimaneno gani mwenzako akikuambia vinakuchanganya mkiwa mnapeana raha kitandani au hata akiwa anakuchombeza kabla ya mechi?
(wanaume waambieni wake zenu ni watamu hata kama ni kinafiki, huyu wangu...
Kuna watu humu ndani ni wataalam sana wa kumwaga like...
Sasa kama hujawahi kupewa like na leo dada na raraa reree tafadhali jitathmini sana.
Nani wengine unahisi wanafaa kushindana na hawa...
Baada ya bilionea mstaarabu wa Katoro Kahama Sylvester Buyamba na wenzake kuvunja Internet kwenye send off ya kufukuru na kutetemesha mitandao ya kijamii Africa mashariki, kati, kusini hadi...
First generation ndio imetoa viongozi wengi sana hasa wa kisiasa na maarufu..
Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF
Lakini hapo hapo yakafanyika makosa...
Kuna aina mbili za watu humu JF.
Kundi la kwanza linaingia kupambana. Lengo lao ni kushinda hoja, kuthibitisha wako sahihi na kumfanya mpinzani akubali.
Halafu kuna kundi la pili... sisi.
Sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.