Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Huwa nina sikitika sana ninapokuta watu, wabantu kabisa wa Tandika, Gairo, Mlalakuwa na sehemu nyingi nyingine za Tanzania wakijiita mara mimi Arsenal, yule Liverpool, mara ManU zaidi, tena...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nizar Khalfan aitwa Tottenham Imeandikwa na Anatazia Anyimike; Tarehe: 13th May 2009 @ 10:37 KIUNGO mahiri wa timu ya soka ya taifa ‘Taifa Stars’, Nizar Khalfan ameitwa na timu ya Ligi Kuu ya...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Wenger vows to strengthen squad BBC News Online Arsenal boss Arsene Wenger will splash out in the summer after conceding he needs to strengthen his squad. Last week's defeat by...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mchezaji wa Liverpool Steven Gerrard amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2009 kupitia chama cha waandishi wa habari za mpira wa miguu cha Uingereza (FWA). Hongera kaka Stevie Selebuka nayo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TAIFA STARS DRC mshambuliaji hatari wa kongo alain kaluyituka dioko ambaye kaiua taifa stars leo kwa kufunga mabao yote mawili. kijana huyu mwenye umri wa miaka 25 anaichezea T.P Mazembe ya...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Waungwana msaada tutani?Mwenye habari kuhusu chipkizi wa Maksimo na ''Ngwasuma(DRC)''!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya Maxcimo kuchezeshwa Nzawisa na Chamukwale na kukubali kipigocha bao mbili bila na Bakongo, aliibuka jana na kudai kuwa wale mashabiki ambao walijitoa kimasomaso na kuibeza timu yake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
There is one sure thing: Euro 2008 in Austria and Switzerland starts with the opening fixture, the first game taking place on 7 June 2008 at Basle's St Jakob Park. Another sure thing is that...
0 Reactions
611 Replies
48K Views
Champions League - Arsenal fan hangs himself Eurosport - Wed, 06 May 15:38:00 2009 An Arsenal fan in football-mad Kenya hanged himself wearing his beloved team's shirt after their defeat to...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
This is exactly what I would have said about this fight, najiandaa kukesha usiku wa leo, this is probably going to be the fight of the year, expect a lot of bomb explosions..... “I could provide...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Winga wa Yanga ya Dar es Salaam na timu ya soka ya taifa 'Taifa Stars', Mrisho Ngassa ameanza majaribio katika timu ya West Ham United ya nchini Uingereza, lakini kukiwa na wachezaji wengi...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Wakuu heshima mbele. Nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu sana jinsi gani makampuni mbali mbali yanavyojitokeza kudhamini timu kubwa mbili za soka Tanzania yaani Simba na Yanga. Si jambo baya ingawa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Are you a professional African journalist or do you employ African journalists that could benefit from international training? Does your publication or radio station wish to receive free...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je, ndoto ya Manchester United kuchukua makombe manne (4) mwaka huu kuanza kutimia leo? Tuwe sote, bado masaa machache.. Kila la kheir Mashetani Wekundu.
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Kenya face a nervous wait to see whether they will realise their dream of playing in the IRB Junior World Rugby Trophy final after securing a 67-0 victory with the crucial bonus point over Cayman...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi sikubalianai na hii PFA award ya mwaka huu, Ryan Giggs? A player who has only started 12 games and scored one goal this season! Cha kushangaza ni kwamba hii award inatolewa kwa kura...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nakumbuka huyu jamaa alikuwa anatisha kweli alivyokuwa Milan. Lakini alipojitusi nakwenda Chelsea, akapigwa benchi mpaka basi. Sasa sijui alipoteza confidence au vipi....?? Shevchenko to end up...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jürgen Klinsmann sacked by Bayern Munich • Former Germany coach fails to meet club's high expectations • Jupp Heynckes to take charge for remainder of season Jurgen Klinsmann looks...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
yule straika hatari wa yanga ya daressalaam aliyetoa mchango mkubwa kule kampala, uganda na kupelekea yanga kuchukua ubingwa wa afrika mashariki na kati mwaka 1999 yupo wapi kwa sasa? Huwa yule...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Alikuwa raisi wa kwanza wa Zenj. Nijuavyo mimi mzee huyu ndiye aliyejenga majengo ya klabu hizi. Jana tarehe 7/4/09 ilikuwa kumbukumbu ya kifo chake. Yanga v/s Al ahly mapato milioni mia mbili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…