Mabingwa wa soka nchini leo wamewanyuka mabingwa wa America ya kaskazini Vancouver white caps kwa mabao 3-0, kwenye uwanja wa Taifa. Mabao ya wababe hao wa jangwani yaliwekwa kimiani na Jerry...
VIUNGO wazoefu wa ushambuliaji wa timu ya soka ya taifa 'Taifa Stars', Athuman Idd 'Chuji' na Haruna Moshi �Boban� wamejitoa katika kikosi hicho kinachofundishwa na kocha Mbrazili...
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana uteuzi wa mchezaji bora Duniani katika mabara mbalimbali ila mpka sasa nashindwa kuelewa ni vigezo gani wanavitumia wenzetu wa mabara mengine kwani uteuzi wao...
Arsenal/Hull vs Chelsea
Man U vs Everton
Mwaka huu kama isingekuwa Villa na Liverpool kutolewa na everton, tungekuwa tunaongelea top 4 wote kuwa kwenye robo fainali, its getting serious now. Man...
DRC wenzetu ktk vita mda mrefu leo wamewatangwa Ghana 2-0!
Nawapongeza sana jirani zetu wa Kabila!
Mapedeshee wote wa Mujini karibuni tusherehekee!!!
BBC SPORT | Football | African | DR...
Damn these guys rock, after new zealand now Fiji. They now automatically qualify for the Rugby world cup in 2013, go kenya go kenya go kenya
Kenya stun Fiji in day of World Sevens upsets...
wakuu naombeni kujua ukweli kuhusu brand name ya jezi za timu ya taifa ( taifa stars) ina michirizi ya adidas lakini nasikia sio adidas ila ni adidas feki. wakuu wa adidas walikuja kwaajili ya...
Kutokana na matokeo ya jana ya mechi kati ya Taifa stars na Zambia. naomba kuuliza yafuato;
1. Je bao la kusawazisha la Zambia ambalo walilipata katika dakika za nyongeza lilisababishwa na...
Date::2/26/2009
Taifa Stars waliwatoroka polisi Abidjan kimya kimya
Na Saleh Ally, Abidjan
Mwananchi
UAMUZI wa kikosi cha Taifa Stars kuamua kutokula chakula kwenye hoteli ya Golf ya...
Mimi siamini kama huyu maximo ni kocha mzuri, yaani hadi leo hana first eleven wala formation hana. Jana amesema atabadilisha wachezaji 7 kwenye kikosi kilichocheza na Senegal.
Hivi kwa...
Mnamo siku ya Ijumaa ya tarehe 20 mwezi huu wa pili, chama cha waandishi wa habari za michezo (TASWA) walimchagua mwanasoka bora wa mwezi Januari; uchaguzi huo ulimuangukia Juma Kaseja, golikipa...
TIGER WOODS will return from his nine-month injury hell to defend his Accenture Match Play Championship title next week.
The world No 1 has been out of action since winning the US Open in June...
8:33 GMT, Friday, 26 December 2008
CHAN draw completed in Ivory Coast
Hosts Ivory Coast will kick off the first ever finals of the African Nations Championship (CHAN) against Zambia in...
Week iliyopita serikali ya Dubai ilimnyima visa mcheza Tennis wa Israel soma hapa
Israeli Peer refused Dubai visa.
Tennis channel ikastrike back kwa kusema hawataonyesha hayo mashindano...
TIMU ya soka ya Yanga muda mfupi uliopita imeweza kuiangushia kipigo cha mbwa mwizi Eoile dOr Mirontsy ya Comoro baada ya kuifunga mabao 6-0 katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika...
Eti ni kwamba, wachezaji wengi wa Taifa Stars wanatoka Yanga, jezi za Wazimbabwe ni kama za Yanga...., kwanini wasione ni kama yanga B! Ya kweli haya ndugu wadau? Na kama ni hivyo, huko Ivory cost...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.