nafungulia tv yangu hapa!naona steven gerrard anatoka uwanjani anafuraha sana!nikiangalia tumbo lake naona kubwa kama mjamzito!nijuzeni wakuu!maana nimezima tv ghafla kwa kuogopa!
Nugu zangu watani wangu kina chisora ndio mpira gani tena mnataka ku u introduce nchini mwetu?
ndungu zetu mmeugeuza mpira kuwa uwanja wa vita? nafasi za jeshi zipo kibao...
KENYAN GOLDEN GIRLS SOUND OLYMPIC ALARM!!!
Kenya's Pamela Jelimo celebrates after winning the women's 800m final at the 2012 IAAF World Indoor Athletics Championships at the Atakoy Athletics...
wanajamvi mliopo uwanjani tuhabarisheni kinachoendelea kwenye hii mechi hivi sasa. kule simba thread na ligi kuu thread hakuna updates zozote hadi sasa
Yanga 0 ~ 1 Azam
Baada ya Niyonzima kutolewa kwa kadi ya pili ya njano iliyozaa red card Wachezaji wa YANGA wamemvamia Refa na kumtwisha MINGUMI ya kutosha waliompiga refa ni pamoja na Canavaro...
Hallo wanaJF,
Kamati ya uchaguzi ya TFF imemuangushia rungu zito mwana michezo M.Wambura kutogombea nafasi yoyote kwenye uongozi wa michezo maisha yake yote.Hii inatokana na tuhuma mbalimbali...
Wakuu ni kipa gani mzembe zaidi kati ya hawa
no 1
http://youtu.be/jxm0MPv90yU
no 2
http://youtu.be/MAaXQRt39d4
no 3
http://youtu.be/NyehinMg-r8
no 4
http://youtu.be/kF_6ZMuoIDY
no 5...
ZITTO ATAKA STARS IVUNJWE, POULSEN ATIMULIWE
KIWANGO kilichoonyeshwa na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, katika mechi dhidi ya Msumbiji, kimesababisha Mbunge wa Kigoma...
Beki wa Vijana ataka uraia wa Italia
JACKSON ODOYO
MTANZANIA anayecheza soka Italia, George Mtemahanji amesema ataomba uraia wa Italia. Mtemahaji, ambaye anachezea Modena FC inayocheza Ligi...
Serikali yaitaka TFF kulipa gharama za jumla ya shilingi milioni tano kwa kuvunjika kwa viti 152 kwenye uwanja wa taifa siku ya mchezo wa SIMBA na KIYOVU
source:JF
hutaki acha
Kipa wa arsenal alishindwa kuvumilia na kuamua kumfuata muokota mipira(Ball -Boy) na kumkumbatia baada ya Theo Walcot kufunga goli la tano dhidi ya Tottenham Hotspurs katika mechi iliyopigwa...
Kwa upande wangu nampa nafasi kubwa Raphael Benitez, sababu mmoja ya makocha wazuri ambao hawana timu kwa sasa na inakuwa ni virahisi sana kumpata., tofauti na makocha wengine wanaopigiwa chapuo...
I am perfectly sure Manchester city is champion of Barclay's premier league this session no body going to stop him surely so god bless Manchester city,Ameeeen....:lol:......City fans oyeeeee.
Angalizo: Mods kwa hekima mnaombwa msiiamishe thread hii wala kuichanganya na nyingine yoyote.
Wanajamii; Wana JF
Mwaka 2010 tulifanya mchakato wa kumpata JF Man & Woman of The Year 2010...
Wana Jf
Katika nchi yetu ya Tanzania tumekuwa ni watu wa kubadilisha makocha kila siku iendayo kwa mungu,tumekuwa ni watu wa kuongea sana mdomoni na kuwapangia kazi makocha wetu wa Taifa kwa kile...
Habari na picha kwa hisani ya mamapipiro blog..
WACHEZAJI wa zamani waliopata kuichezea timu ya soka ya Simba, Zamoyoni Mogella ‘Golden Boy' (kushoto) na Boniface Pawasa wamewaasa wachezaji...
Ushindi huo mnono katika historia ulipatikana juzi Jumapili, 4 Machi katika mechi ya raundi ya 32 ya kombe la Nedbank kati ya Mamelodi Sundowns na timu ya daraja la nne ya Powerlines FC huko mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.