The Coppa Italia Dilettanti may not be the most glamorous competition in Europe it's contested by amateurs but the tie between Torres and Unione Sportiva Termoli has thrown up an unusual...
Wana JF, kombe la club bingwa ulaya lanategemewa kutua nchini mnamo machi 27 mwaka huu. kombe hili linaletwa kwa udhamini wa kinywaji cha HEINEKEN.Je ujio wa kombe hili unaweza kuwa na athari...
[COLOR=#ff0000][COLOR=#ff0000]Napenda kuwapa pongezi watangazaji wa michezo wa clouds katika kwa jinsi mnavofanya kaziyenu ya uandishi kwa masrahi na maendeleo ya timu yetu ya simba sc.nawataja...
Hivi jamani kwanini hawa tff wanafanya maamuzi kupitia vipindi vya redio clouds na clouds tv a.k.a simba tv.ukitazama vizuri kile kinachozungumzwa na clouds ndicho kinachoamliwa na tff.mfano tff...
Uhakika wa Tanzania kuvuna medali za dhahabu umekuwa mkubwa sana baada ya kujitokeza wanandondi (Boxers) wa ridhaa wenye kiwango cha hali ya juu. TOC kushirikiana na TFF wamekubaliana wachezaji wa...
Kocha wa yanga kostad papic amebwaga manyanga kuifundisha yanga.hii imetokana na uongozi wa yanga kumhoji kuhusu mahusiano yake na wachezaji kwani ilionekana anaendekeza chuki na baadhi ya...
The Argentine is typically associated with scoring goals rather than saving them, but he shows in this image that he's no slouch between the sticks, either
Mguu...
Baada ya kuzindua kituo cha tv (simba tv) kinachurushwa na clouds tv, sasa club ya simba inazidi kuchanja mbuga na kuzipiga bao club nyingine za africa na sasa ipombioni kuzindua redio yao binafsi...
Je mchezaji Athman Idd(Chuji) alikuwemo katika kikosi kilichocheza na Azam Jumamosi March 10? Chuji amekuwa akitajwa mara kadhaa kuwa mtovu wa nidhamu, katika vurugu zilitokea kwenye mchezo huo...
Yaani mwamuzi wa mechi ya leo ligi kuu z'bar uwanja wa mao tsetung kati ya zimamoto na kikwajuni kakimbia kama kibaka baada ya kipondo kikali! Source. Itv.
Kutokana na dalili za TFF zilizoonekana wazi kuzibeba timu za simba na Azam,na kutuharibia soka letu tunapenda kuwataarifu mashabiki wa Yanga kutoiunga mkono timu ya Taifa starz kwa namna yoyote...
This is play-off to reach champions league group stage
ODENSE vs VILLARREA
FC TWENTE vs BENFICA
ARSENAL vs UDINESE
BAYERN MUNICH vs FC ZURICH
LYON vs RUBIN KAZAN
WASLA KRAKOW vs APOEL...
gonga hapa Messi - what was said on Twitter - Football news | MSN Sport UK usome jinsi waliyosema akina garry lineker, demba ba, wayne rooney, sep blatter, etc baada ya lionel messi kupiga goli 5...
Leo wachezaji wa yanga Mwasika,Nurdin na kanavaro wameonesha jinsi gani hata masumbwi wanayajua pale walipoamua kumpiga refa wakigomea kadi nyekundu,hii inadhihisha jinsi gani wachezaji wetu...
leo gomez kaonesha kuwa kufunga magoli zaidi ya matatu katika mechi moja inawezekani ni baada ya kushusha kisago kwa wababe wa manure, fc baseball.. bayern kashinda 7 bila..
yeye katika uefa...
nafungulia tv yangu hapa!naona steven gerrard anatoka uwanjani anafuraha sana!nikiangalia tumbo lake naona kubwa kama mjamzito!nijuzeni wakuu!maana nimezima tv ghafla kwa kuogopa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.