only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Hallo wanaJF,
Kamati ya uchaguzi ya TFF imemuangushia rungu zito mwana michezo M.Wambura kutogombea nafasi yoyote kwenye uongozi wa michezo maisha yake yote.Hii inatokana na tuhuma mbalimbali ambazo zimesemwa na kamati hii na kudai kuwa wambura sio muadilifu hata kidogo na kwa hiyo hafai kuwa kiongozi.Je,hii ni sawa?
Kamati ya uchaguzi ya TFF imemuangushia rungu zito mwana michezo M.Wambura kutogombea nafasi yoyote kwenye uongozi wa michezo maisha yake yote.Hii inatokana na tuhuma mbalimbali ambazo zimesemwa na kamati hii na kudai kuwa wambura sio muadilifu hata kidogo na kwa hiyo hafai kuwa kiongozi.Je,hii ni sawa?