Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
nafungulia tv yangu hapa!naona steven gerrard anatoka uwanjani anafuraha sana!nikiangalia tumbo lake naona kubwa kama mjamzito!nijuzeni wakuu!maana nimezima tv ghafla kwa kuogopa!
ana mimba ya miezi mitatu mkuu! Ndo anaenda laber kaka...
nafungua jf naona umepost uzumbukuku wako hapa nikiangalia akili yako naona ina UJI wakuu nijuzeni nimetoka thread hii ghafla kwa kuogopa
natumia simu kidude cha like sikioni!anyway i like your comment!umenielewa?
Nawe umei like nini sana sana??
Comment ipi imekupendeza?
Tumia ubongo kutafakari we dogo!
Kuwa mshabiki mzuri!
Utafikiri unatumia masaburi kuwaza..........Mmmmmmhh!
Raia wengine mizigo tu!
Sasa uliuliza swali la nini?hiyo ilikuwa ni jana usiku mechi ya liverpool na everton ambapo liver ilishinda 3-0 bao zote kafunga gerrard ndio akaondoka na mpira na kuuweka tumboni ndani ya jezi yake!
Sasa uliuliza swali la nini?