Timu ya Newcastle united imezidi kuchanja mbuga kwenye ligi kuu ya uingereza baada ya leo ijumaa kuichapa Swansea city mabao 2 bila na kufanikiwa kufikisha point 56.Mabao yote ya Newcastle united...
Veronica Campbell-Brown has overcome grinding poverty to become one of the greatest Olympians that Jamaica has ever produced.
The 29-year-old Jamaican sprinter has had to overcome grinding...
Jinamizi la Hasheem Thabeet kubaki bench imeanza kuwa hadithi baada ya timu mpya kumpa nafasi ya kuwa katika kundi la Starts na hivyo kujiimarisha katika nafasi ambayo inampa uweza wa kudaka...
yan nawasha mashabiki wa man city,wanaona man utd hawana uwezo wa kuwafunga,bt kumbukeni msimu uliopita goli la rooney lile la tik taka.sasa ndio itakuwa hivyo,kaeni mkijua kuwa man utd ndio...
Fabrice Muamba: 'I ran upfield to try and get on the end of a cross from Martin Petrov on our left wing and as I ran back into midfield I felt very slightly dizzy.
'It wasn't a normal...
Annuncio vobis gaudium magnum!
(I announce to u the great joy!)
Madrid are the new La liga champions!
Hail Mourinho, Master of Tactics, the Special One.
Viva Ronaldo viva!
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba, kocha wa timu ya Yanga, bwana Papic ametamka kutoifundisha timu hiyo tena akihojiwa baada ya kuifunga Polisi mabao 3 - 1.
Habari nazifatilia...
Korir, Cherop win Boston Marathon titles
Men's elite field heads out during the start of the 116th running of the Boston Marathon April 16, 2012
By AFP
Posted Monday, April 16...
Kwa muda mrefu sasa nimeshangazwa na propaganda chafu zinazoenezwa na Shaffih Dauda kupitia blog yake pamoja na kipindi cha Sports Extra cha Clouds FM dhidi ya timu ya Yanga.....Shaffih na wenzake...
kocha Mou ameweza kumbamiza pep guadiola 2-1 katika awanja wa camp nou, christiano Ronaldo akitupia Wavu wa pili kwa goli safi la mguu wa kulia,na kutanua wigo wa point toka 4 MPAKA 7.
WENYEVITI wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Said Hamad El Maamry na Muhiddin Ahmad Ndolanga wameteuliwa kuwa Marais wa heshima wa shirikisho hilo, katika Mkutano Mkuu wa TFF...
Timu ya vijana chini ya miaka 20 leo jioni imetufurahisha watanzania kwa kuibajua Sudan magoli 3 kwa 1.Keep up vijana natunaomba dua muweze kulinda ushindi huu kwenye mechi ya ugenini
magoli ya madrid uamefungwa na sami khedira na christino Ronaldo wakati la baka akifunga sanchez, madrid wako kileleni kwa jumla ya point 88 tofauti ya point 7 na barca
kocha Mou ameweza kumbamiza pep guadiola 2-1 katika awanja wa camp nou, christiano Ronaldo akitupia Wavu wa pili kwa goli safi la mguu wa kulia,na kutanua wigo wa point toka 4 MPAKA 7.
Leo Arsenal HAFUNGWI, Madrid INASHINDA, Ronaldo atakuwa MAN OF THE MATCH, mechi ya ARSENAL na CHELSEA kuna uwezekano wa RVP kutengeneza rekodi nyingine leo! Barca na Madrid je hii ni mechi yao ya...
Ndugu, wadau, natamani sana siku moja kuwe na mechi ya mastaa wa La Liga na wenzao wa UK Premier League. Kwanza mechi iwe mwisho wa msimu, pili iongozwe na makocha waliochukua makombe pande zote...
tunafahamu kuwa timu itakayoshika nafasi ya kwanza ktk hatua ya Makundi ya UEFA champions league basi tunapoingia ktk raundi ya pili anatakiwa aanzie ugenini kisha anakuja kumalizia nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.