REAL MADRID 2- barcelona FC 1

king ndeshi

Senior Member
Oct 31, 2010
135
7
kocha Mou ameweza kumbamiza pep guadiola 2-1 katika awanja wa camp nou, christiano Ronaldo akitupia Wavu wa pili kwa goli safi la mguu wa kulia,na kutanua wigo wa point toka 4 MPAKA 7.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom