Wana bodi,naomba kufahamishwa sheria za mpira wa mguu zinasemaje iwapo mchezaji atarusha mpira akiwa nje ya uwanja moja kwa moja hadi kwenye lango la mpinzani wake na ukaingia je litahesabika kama...
Washabiki wa Dar es salaam Yanga Afrika, ya Umoja wa Mataifa jana mmeniangusha.
Kwanza, mlikuja kwa uchache sana pale Uwanja wa Taifa kitu ambacho si kawaida yenu, halafu mkajitenga, mkakaa mbali...
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho CAF, Simba SC sasa watawavaa El Ahly Shandy ya Sudan baada ya Al Ahli Shandi kuwachapa Ferroviario de Maputo ya Msumbiji jumla ya...
wakuu mechi ndo hiyo soon itaanza. mlio uwanjani kumbukeni kuchangia furaha yenu hapa ili tulioko mashambani tufaidike.
UPDATES:
Dakika ya 30: Simba 0 - 0 Ahli Shandy
Dakika ya 38: Simba 0 - 0...
wakuu kama kuna mtu ameliona lile tangazo kua and 1 wanakuja bongo, sasa wameandika saa 10 mchana, mi cjaelewa ni saa 10 am au pm? kwa anaejua tafadhali
Habari za hivi punde kutoka tff zinasema kwamba waamuzi wa mechi ya Azam na Mtibwa iliyovunjika wameondolewa kwenye list ya waamuzi wa tff.Lakini pia kamati ya nidhamu imeipa Azam point3 na...
Pep Guardiola is understood to be on the brink of ending his tenure as manager of Barcelona after telling the club he cannot carry on.
The 41-year-old Catalan will announce his intentions at a...
Natazama hii game, mpaka sasa ni Wigan 4 na NewCastle 0....Half time
Nashangaa kitu kimoja..hivi hii inamaanisha premier league ni ligi bora kwa maana ya ushindani na kwa hivyo matokeo...
Sababu siskii clouds wakipromote mechi ya simba na al ahl shandy.Nashangaa maana hawa jamaa ni marafiki wakuzikana iweje leo wanatosana au simba "wameshtuka"?!
baada ya barca kutolewa majuzi,watu wengi hasa wale mashabiki wa mkono wa kushoto walidai wamefulia.sasa jana mungu co JK na madrid pia wametolewa ktk kipute cha mabingwa ulaya.sasa je nayo madrid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.