Yuko wapi Jafari Vuru Mroma

Yuko wapi Jafari Vuru Mroma

Kibukuasili

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2010
Posts
1,053
Reaction score
616
Huyu alikua mwanamieleka miaka ya 80 pamoja na marehemu power Bernado. Atakua mtu mzima sasa. Yuko wapi sasa?
 
Da umenikusha mbali sana, enzi za power Chaka, na kwenye ngumi kulikuwa na kina Samwel Pataul, Paul siza, Kinyogoli, Mlundwa, Charles Muhilu 'spinks' dah
 
Back
Top Bottom