Simba ilisogea jirani zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania 2012 kwa ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana, huku watetezi Yanga wakilitema...
Jose Mourinho: "I don't see Chelsea in the final it might be Real Madrid v Barcelona or Bayern v Barcelona but i don't see Chelsea going through to the final."
Timu ya Yanga imeendelea kuboronga kwenye ligi kuu baada ya leo kukubali kulala kwa goli moja mbele ya Kagera Sugar.Pia ndani ya uongozi wa Yanga kumeibuka sintofaham kutokana na vipigo...
kwa tetesi nilizozipata hivi punde,ile rufaa ya yanga ya kupinga kupokwa point3 imepigwa chini leo na kamati ya rufaa ya tff chini ya kamanda Tibaigana,ikiwa na maana kwamba yale maamuzi ya...
Hayo yalitokea wiki hii pale mtangazaji wa clouds,aka Simba tv alipojipendekeza kwenye kikao cha waandishi wa habari kwenye jengo la klabu ya YANGA.....very nice nawapongeza wanachama wa Yanga kwa...
Fantastic run in Karatu last week end at the Tigo Ngorongoro half marathon, with Fabian Joseph and Jacqueline Sakilu emerging tops... Olympic hopeful Fabian has every possibility of bringing...
Kwa wale mliombali na TV basi unaweza kuangalia live streaming kwenye hii link
http://www.atdhenet.tv/46113/watch-bayern-munich-vs-real-madrid
Kwa mlio bongo nakushaurini muangalie tv hii link...
Semi final za UEFA - Nani ataibuka mshindi hapa.
Mimi ninabaki na R. Madrid ingawaje hawa ni maadui wa jadi, lolote linaweza kutokea.
Na pia tusisahau kuwa Real haina hisoria kubwa ya kuwashinda...
Namcheki maximo wetu kocha wa wa timu ya taifa wa zamani hapa TBC, akinadi sera zake za kuanzishwa kwa vilabu vya watoto.....huyu jamaa wadau vp kuna umuhimu wa kuwa naye tena???
MAXIMO AMSHAURI RAIS KIKWETE JINSI YA KUPATA MAFANIKIO KATIKA SOKA
Kocha wa zamani wa Taifa Stars Marcio Maximo akimsalimu mke wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete...
Akiwa ziarini nchini Brazil Rais J.M Kikwete amekutana na aliyekuwa kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania.Marcio Maximo.
Maximo alichukua fursa hiyo kwa kushauri vilabu vya soka Tanzania lazima...
Kwa hali inaavyoonekana baada ya ushindi wa kishindo, kwa mara nyingine tena timu mbili za Barca na Real M zitaendelea kushinda na kutawala La Liga,hivyo kupunguza mvuto maana haina ushindanizaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.