Hamjambo
Naomba wasiwe wanachagua mechi waonyeshe mechi zote
Na waache tabia ya kukata mechi kipindi inaendelea
Nafikiria kidogo kuunganisha mawazo yangu Azam Tv na TBC kuhusu kuonyesha hizi...
Baada ya Kocha Jamhuri Kihwelo Julio kufutwa kazi jana na klabu yake ya Mashujaa Fc leo Crown Fm wakaamua kumpigia simu.
Juma Ayo akapiga simu, akakutana na matusi live bila chenga.
Julio...
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limeripotiwa kukataa pendekezo la Shirikisho la Soka la Misri (EFA) lililotaka kuongeza idadi ya klabu za Misri zinazoshiriki CAF Champions League na Kombe...
Kuna watu jana mmenifurahisha sana pale baada ya kipenga cha mwisho kupigwa. Na England 🏴 kupoteza dakika za jioni mbele za Argentina 🇦🇷.
Wengi wenu mmekuja na nyuzi eti Messi is ndiye...
Wengi tumesikia au kushuhudia vipaji vya wachezaji tofauti wa Brazil kuanzia Pele, Garincha, Zicci, Romario, Ronaldo, Gaucho na Neymar kuwataja kwa uchache.
Kuna kipaji cha mchezaji wa Brazil...
Baada ya nadharia zao uchwara ambazo zilikuwa zinadai kuwa Portugal imepangwa kuchukua World Cup mwaka huu kuangukia pua sasa wamehamia kwa Spain.
Wanadharia hao uchwara wanadai kuwa Spain...
Messi and Yamal will meet again in the 2026 World Cup final. ⚽️
Their connection dates to a 2007 charity calendar shoot at Camp Nou. Photographer Joan Monfort captured 20-year-old Messi with...
Wachezaji wa Argentina wamefichua siri iliyokuwa kwenye chupa ya maji ya kipa wa England, Jordan Pickford, baada ya timu hizo kukutana jana usiku katika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 ...
Mitandao ya kijamii imesheheni madai yanayodai kuwa nyota wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji, Jérémy Doku, amefungua talaka dhidi ya mke wake Shireen baada ya kile kinachodaiwa kuwa...
Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week..
Kalikuwa kasehemu kadogo tu. Kuwa waingie vyumba vya kubadilishia jersey. Waligoma goma now...
Nakataa kuwa mshabiki oya oya , napenda mpira , acha kwa pumzi hii niliyo bakiwa nayo niupe maua yake , natambua mchango wa Ronaldo , ila Messi ni next level , acha niupe mpira heshima yake tu...
South Africa, timu zinazokwenda kwenye CAF confederation ni timu ya tatu na timu ya nane. Kwa Tanzania, tunawakilishwa na timu ya tatu na ya nne. Kuna nnini?
Nimejikuta naanzisha huu Uzi maalumu baada ya kusikiliza kituo Fulani chenye wachambuzi wa mchongo wao ni kuponda timu hata ifanye mazuri gani.
Kiufupi hawajui chochote kuhusu mpira/football...
Jamani naomba mnisaidie nimeweka pesa kwenye account yangu ya gal spot toka jana pesa yangu haijaingia kwenye account yangu lakini Salio limekatwa na ujumbe nimepokea wa kukamilika kwa muamala
Kila mwaka, Dunia ya soka husimama kwa dakika chache. Sio kwa sababu kuna fainali ya Kombe la Dunia, Sio kwa sababu kuna Clasico, wala sio kwa sababu kuna usiku mwingine wa kichawi wa Ligi ya...
Wataitisha press ya pamoja, baada ya hapo Azam Media limited italalamika na kusitisha matangazo ya ligi kuu Tanzania bara kwa kigezo cha kuhofia hasara baada ya baadhi ya timukujitoa.
Samia...
Rais wa Argentina, Javier Milei, amesema hatahudhuria fainali ya Kombe la Dunia itakayozikutanisha Argentina na Uhispania, akieleza kuwa uamuzi huo unatokana na imani yake.
Akizungumza kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.